Salaah Mohamed wa GSM kasababisha ajali na kuua watu wawili na polisi kakaa dk 40 tu!

maliyamungu

JF-Expert Member
Aug 14, 2011
564
412
Jamani pesa tamu sana. Salaah wa Silent Ocean mdogo wake Gharib kagonga na gari watu wawili mitaa ya Viva Tower na wote kufa papo hapo na kakaa polisi dakika 40 tu na akaachiwa huru lakini ingekuwa mwenzangu na mimi ningeozea ndani.

Dah! Kweli mwenye pesa sio mwenzio.

BEB4F961-DF88-4B68-B96E-8BF6BAC33990.jpeg
 
Hata akikaa maisha jela watafufuka ?? Na mara zote hakuna dereva anayekusudia kugonga au kuua.
Ni kweli hawezi kurudi lakiji anaisababishia hasara familia huenda aliyepoteza maisha ni mtu muhimu sana alikuwa anategemewa na familia kwa kila kitu, pengine ameolewa au kuoa ni baba au mama, ni kaka anasomesha na kutunza wenzake.

Mtu mmoja anapokufa hasara yake nimkubwa mno, ni pana kwa mapana yake.
 
Ni kweli hawezi kurudi lakiji anaisababishia hasara familia huenda aliyepoteza maisha ni mtu muhimu sana alikuwa anategemewa na familia kwa kila kitu, pengine ameolewa au kuoa ni baba au mama, ni kaka anasomesha na kutunza wenzake.

Mtu mmoja anapokufa hasara yake nimkubwa mno, ni pana kwa mapana yake.
Kama ni ajali na polisi wamechunguza wameona marehemu wana makosa ktk matumizi ya barabara basi wamemwachia .
 
Marehemu hana haki. Kesi ya traffic ya kijinga sana.

Hata wewe ungeweza kutoka haraka tu hamna kesi hapo ni vi fine vidogo kwisha kazi..

Kosa la marehemu.
Ni Tanzania ndio marehemu hana haki. Hakuna mwenye thamani kuliko kitu chochote duniani kama binadamu. Tanzania tungeelewa hilo nchi ingekuwa nzuri na yenye amani na upendo.
 
Ni Tanzania ndio marehemu hana haki. Hakuna mwenye thamani kuliko kitu chochote duniani kama binadamu. Tanzania tungeelewa hilo nchi ingekuwa nzuri na yenye amani na upendo.
Ni kweli mkuu nami sijasema hayo kwasababu sijui kuwa haki haitendeki bali ni kwasababu najua mifumo ya haki na sheria nchini ilivyo corrupt ni mara chache sana justice inakuwa served.

Rushwa mbele kama mimba.
 
Back
Top Bottom