Sala yangu kwa mzungu

Sala yangu kwa mzungu

Samahani, KWANI BABA YAKO PIA SI NI MWANAUME?
 
ice-cubee-1.gif
 
Ama! Yakhee Kala mdudu huyu!? Ndoa maana anaongea madudu...
Wewe mwafrika unataka mzungu akusaidie olewa nae
 
Eh mzungu, nakujia kwako jmosi hii tulivu, baada ya kugonga kitimoto roast ya ukweli, ingawa kuna member humu anajitahidi kweli na mada zake za kuponda mdudu huyu, ingawa ulishafanya tafiti za kutosha kusafisha uongo wote.

Eeeh mzungu saidia bara hili la giza.

Saidia na huku tuwe na wanaume manake kuna wanawake na mifugo tu.

Kutwa mifugo hii kujilinganisha na ng'ombe, kuku na mbuzi kutetea michepuko. Yani kweli ni kuku na mbuzi.

Hivi mwanaume anayejielewa anaweza kujifananisha na mnyama kweli?? Wanaume wa kuhesabuu.

Eeehh mzungu saidia bara hili lenye Giza.

Saidia manake mifugo mingi bado ina undugu wa karibu na masokwe. Ni kutumia mahasira na nguvu kujitia ukuu na ubabe kama masokwe porini.

Eeeh mzungu mpunguzie akili yako kidogo. Hadi leo watu wenye elimu zao za hapa na pale bado wanatafuta ukuu kama sokwe porini, wananyanyasa wanawake kimwili na kisaikolojia. Akili na ustaarab wako hawana!


Eeehh mzungu tusaidiege huku!

Mifugo haijielewi. Kutwa na sharubu zao kujiita dhaifu ili kutetea kupanda panda ovyo na kuumiza familia. Halafu yenyewe haitegemi kufanyiwa hivyo la sivyo itakurecord na kusambaza video.

Ndomana bara haliendelei. kuendekeza Mihemko tu kama mmbwa. NO DISCIPLINE. POOR COGNITIVE DEVELOPMENT.

Eeeeehhh muzungu ,

Saidia wanaume wa huku.
Kutwa kuongelea tamaduni za enzi za mitume wakati tuko kwenye ubepari.

Kutwa kufananisha wanawake na bibi zao wakati hali halizingani. Wanawake wanapataje shida kuishi maisha ya dunia mbili TOFAUTI ili kuwaridhisha! Lakini wao maisha yao na babu zao ni yaleyale. Full kurelax kidume. . Eeehh muzungu vavaa...

Eeehh Muzungu saidia...

Mifugo inaona dunia wameumbiwa wao, wanawake wamekuja by the way. Wao ndo wenye akili za maamuzi. Wao hawakoseagi. Wao ndo wa kuheshimiwa na kujaliwa. Wao ndo wenye tamaa za mwili. Wao ndo WAGUMU kuonewa na kusamehe. Wao ni kutafuta sukari tu, kutunza mahusiano si kazi yao. Wanawake ndo wa kujiheshimu wao wanaweza kujitia hamnazo.

Lakini mzungu,

Wanawake nao ni MAJIPU! hawajielewi. Kutwa kujitia kufundana ujinga unaoishia kutesa wenzao.

Wanawake wamefungwa kifikra. Wanasema ETI mifugo ndo silika yao!!

Hawajiamini. Eti waongozwe. Wawezeshwe. Itumike akili kuishi nao manake hawajielewi.


Hivi muzungu, wanawake wa huko dunia ya kwanza hawajielewi kama wa huku? Me naona wa huko ndo inahitajika AKILI kuishi nao. Wa huku wanaishi kwa vipigo, vitisho, ubabe na michepuko tu.

Mzungu tusaidie ELIMU ELIMU ELIMU.

Saidia na wanaume wanaoogopa degree holders 😀 saidia ili tuwalinde watoto wao watakaoozeshwa wakimaliza LA saba.

Kupitia serikali ya utumbuaji majipu na kidikteta (unaolazimishwa na mifugo ya bara hili) naomba muzungu utuokoe na UJINGA..

SO BE IT..
Housegirl???? The poorest thiking ever hppened. Maakini hao wazungu unaosema si ndio hawa wanaume wao wanaolewa na wanaume wenzao?? Si ndio hawa wanawake wao huolewa na kujitia vijiti papuchini kwa kosingizio cha revolution??

Kiti kama hukijui unajidhalilisha wewe binafsi na pia una blunt uwezo wako wa kufikiri kuamini mambo ya kijinga na kutaka na wenzako wayaamini pia.
 
Haya maisha tu dada, usijisahau kiasi hicho hata kama upo ktk level flani ya maisha, bado hujachelewa nafasi ya kujirekebisha unayo.
Watu ni wathirika lkn huyu kaathirika zaidi na sijui ataponaje, anaumwa sana kule upstairs
 
Housegirl???? The poorest thiking ever hppened. Maakini hao wazungu unaosema si ndio hawa wanaume wao wanaolewa na wanaume wenzao?? Si ndio hawa wanawake wao huolewa na kujitia vijiti papuchini kwa kosingizio cha revolution??

Kiti kama hukijui unajidhalilisha wewe binafsi na pia una blunt uwezo wako wa kufikiri kuamini mambo ya kijinga na kutaka na wenzako wayaamini pia.

Nimeongelea ukatili kwa wanawake, ubazazi wa waume (husbands) "unaotetewa", sexual freedom waliyonayo wanaume tu, mfumo dume, lawama kupewa wanawake mahusiano yakiharibika, unyonge wa wanawake kushindwa kutoka kwenye mahusiano mabovu na ya mateso kwa sababu ya jamii.

Umemuona mzungu tu?

And I'm not taking anything back.

ni ukweli ulio wazi gap kubwa wametupiga as far as

ustaarabu (kutesa na kudhalilisha wanawake, kusaidia kazi za nyumbani, eti huku hata mwanaume kumuomba mwanamke msamaha nuksi),

wanawake kuelewa haki na thamani yao na kuweza kujitetea,

na kuwa na jamii supportive kwa furaha na Uhuru wa watu hasa wanawake.

Si ndio hawa wanawake wao huolewa na kujitia vijiti papuchini kwa kosingizio cha revolution??
.
geez you must the most boring sex partner ever. you can introduce sex toys in your sex life and make things interesting bruh.
 
Kumbe umaskini wa Africa sababu kubwa ni wanaume ndo najua Leo.
nyumba za serikali wapewa michepuko.

hela zikipatikana zapelekwa kuweka heshima bar na kutafuta nyumba ndogo.

vyeti na kazi zapatwa kwa kuvua pichu.

mama akitaka kufanya kazi mume hataki (KWA HELA GANI!!!)

Wanashauriana wasioe wasomi.

etc etc

yani ujinga ujinga tu toka huku chini ndomana hatuendelei.
 
Housegirl we ndo ulirekodiwa mbona unalalamika sana
 
You act like you are somebody, but i don't say you are no body, you must be a disgrace woman.
Kwa ulichobandika hapa hata hao wazungu hawatakuunga mkono.
nyumba za serikali wapewa michepuko.

hela zikipatikana zapelekwa kuweka heshima bar na kutafuta nyumba ndogo.

vyeti na kazi zapatwa kwa kuvua pichu.

mama akitaka kufanya kazi mume hataki (KWA HELA GANI!!!)

Wanashauriana wasioe wasomi.

etc etc

yani ujinga ujinga tu toka huku chini ndomana hatuendelei.
 
Eh mzungu, nakujia kwako jmosi hii tulivu, baada ya kugonga kitimoto roast ya ukweli, ingawa kuna member humu anajitahidi kweli na mada zake za kuponda mdudu huyu, ingawa ulishafanya tafiti za kutosha kusafisha uongo wote.

Eeeh mzungu saidia bara hili la giza.

Saidia na huku tuwe na wanaume manake kuna wanawake na mifugo tu.

Kutwa mifugo hii kujilinganisha na ng'ombe, kuku na mbuzi kutetea michepuko. Yani kweli ni kuku na mbuzi.

Hivi mwanaume anayejielewa anaweza kujifananisha na mnyama kweli?? Wanaume wa kuhesabuu.

Eeehh mzungu saidia bara hili lenye Giza.

Saidia manake mifugo mingi bado ina undugu wa karibu na masokwe. Ni kutumia mahasira na nguvu kujitia ukuu na ubabe kama masokwe porini.

Eeeh mzungu mpunguzie akili yako kidogo. Hadi leo watu wenye elimu zao za hapa na pale bado wanatafuta ukuu kama sokwe porini, wananyanyasa wanawake kimwili na kisaikolojia. Akili na ustaarab wako hawana!


Eeehh mzungu tusaidiege huku!

Mifugo haijielewi. Kutwa na sharubu zao kujiita dhaifu ili kutetea kupanda panda ovyo na kuumiza familia. Halafu yenyewe haitegemi kufanyiwa hivyo la sivyo itakurecord na kusambaza video.

Ndomana bara haliendelei. kuendekeza Mihemko tu kama mmbwa. NO DISCIPLINE. POOR COGNITIVE DEVELOPMENT.

Eeeeehhh muzungu ,

Saidia wanaume wa huku.
Kutwa kuongelea tamaduni za enzi za mitume wakati tuko kwenye ubepari.

Kutwa kufananisha wanawake na bibi zao wakati hali halizingani. Wanawake wanapataje shida kuishi maisha ya dunia mbili TOFAUTI ili kuwaridhisha! Lakini wao maisha yao na babu zao ni yaleyale. Full kurelax kidume. . Eeehh muzungu vavaa...

Eeehh Muzungu saidia...

Mifugo inaona dunia wameumbiwa wao, wanawake wamekuja by the way. Wao ndo wenye akili za maamuzi. Wao hawakoseagi. Wao ndo wa kuheshimiwa na kujaliwa. Wao ndo wenye tamaa za mwili. Wao ndo WAGUMU kuonewa na kusamehe. Wao ni kutafuta sukari tu, kutunza mahusiano si kazi yao. Wanawake ndo wa kujiheshimu wao wanaweza kujitia hamnazo.

Lakini mzungu,

Wanawake nao ni MAJIPU! hawajielewi. Kutwa kujitia kufundana ujinga unaoishia kutesa wenzao.

Wanawake wamefungwa kifikra. Wanasema ETI mifugo ndo silika yao!!

Hawajiamini. Eti waongozwe. Wawezeshwe. Itumike akili kuishi nao manake hawajielewi.


Hivi muzungu, wanawake wa huko dunia ya kwanza hawajielewi kama wa huku? Me naona wa huko ndo inahitajika AKILI kuishi nao. Wa huku wanaishi kwa vipigo, vitisho, ubabe na michepuko tu.

Mzungu tusaidie ELIMU ELIMU ELIMU.

Saidia na wanaume wanaoogopa degree holders 😀 saidia ili tuwalinde watoto wao watakaoozeshwa wakimaliza LA saba.

Kupitia serikali ya utumbuaji majipu na kidikteta (unaolazimishwa na mifugo ya bara hili) naomba muzungu utuokoe na UJINGA..

SO BE IT..
Wow! Nilijua ni sala kwa Mungu kumbe ni sala kwa Mzungu! Aisee! Jina linaendana na fikra zako. Very sad.
 
Wow! Nilijua ni sala kwa Mungu kumbe ni sala kwa Mzungu! Aisee! Jina linaendana na fikra zako. Very sad.
muzungu atupe elimu yake atukomboe na ujinga na utumwa wa fikra...SO BE IT
 
Back
Top Bottom