Sala ya Leo: Mithali 29:2- Mamlaka na Haki

Sala ya Leo: Mithali 29:2- Mamlaka na Haki

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
17,566
Reaction score
28,527
Mithali 29:2*

“Watu wa haki wanapokuwa na mamlaka, watu hufurahi; Bali waovu wakiwatawala, watu huugua.

Uhafanuzi

Neno hili linaonyesha kwamba uongozi wa haki huleta furaha na amani kwa watu, lakini uongozi wa waovu huleta mateso na huzuni.

Tuombe

Ee Mungu tunakushukuru kwa neema hii ya maisha, tunakuomba uwainue viongozi wa haki, wenye moyo wa kukutumikia wewe na kutenda mema, utufunike kwa Damu ya Yesu Kristo na tuongozwe na Roho Mtakatifu, tunaomba viongozi wetu waongoze kwa haki na uadilifu,uwaondoe waovu kutoka madarakani, ili watu wako waishi kwa furaha na amani.

Amina
 
Ukamwambie, ukisema, BWANA asema hivi, Je! Umeua, ukatamalaki? Nawe utamwambia, kusema, BWANA asema hivi, Mahali pale mbwa walipoiramba damu ya Nabothi, mbwa watairamba na damu yako, naam, damu yako.
 
Mithali 29:2*

“Watu wa haki wanapokuwa na mamlaka, watu hufurahi; Bali waovu wakiwatawala, watu huugua.

Uhafanuzi

Neno hili linaonyesha kwamba uongozi wa haki huleta furaha na amani kwa watu, lakini uongozi wa waovu huleta mateso na huzuni.

Tuombe

Ee Mungu tunakushukuru kwa neema hii ya maisha, tunakuomba uwainue viongozi wa haki, wenye moyo wa kukutumikia wewe na kutenda mema, utufunike kwa Damu ya Yesu Kristo na tuongozwe na Roho Mtakatifu, tunaomba viongozi wetu waongoze kwa haki na uadilifu,uwaondoe waovu kutoka madarakani, ili watu wako waishi kwa furaha na amani.

Amina
Yasiyo Haki hayadumu, yanapigwa na upepo wa kisulisuli na kupeperushwa mbali!
Mithali 10:25
Kisulisuli kikiisha pita asiye haki hayuko tena; Bali mwenye haki ni msingi wa milele.
 
Back
Top Bottom