JMF
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 1,736
- 2,686
Duuu hawa viumbe ni kazi kweli kweli
Duuu hawa viumbe ni kazi kweli kweli
Huwa wananunua Hand bag Kwa bei kubwa Lakini Sisi wanaume Huwa hatuna hata stori na handbag zao, wanazobeba,
.
huwa wanachana nywele na kujiangalia kwenye kioo kabla ya kwenda kulala,
Eeh Mungu Uwaokoe
Hiyo number moja inabidi niombewe kabisaaaaaa
Any way... uzi huu na nyinginezo kuhusu wanawake zilizoanzishwa na wanaume ni kiashiria tosha WANAUME WANAWAPENDA SANA WANAWAKE KIASI MAWAZO, MAONGEZI NA MAANDISHI YAO NI KUHUSU WANAWAKE.
Wanawake oyeee!
Some tyme iko poa xnaJf bila vituko, mh!
hahahahaah naona umerud pale pale u nd help na iko ndicho kinachofanya ad saiv mtuone ss kama miungu wenu apaa dunian ahhahahahaah mana tunawasaidia mambo mengi sana kimwili kiakili n.kTutajifunza kuvua samaki na kuisongesha mbele teknolojia (robots) kusaidia tunapohitaji msaada. Siku hizi zege wanawake wanabeba.
Nasikia Ugomvi wa wanaume ambao pia ni kwa ajili ya wanawake.