The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,433
- 13,417
BABA YETU KISHAROBARO
Baba yetu unasizi majuu ,jinalako lihit sana utusome na mamkate mabaga na mazagazaga..utupotezee tukiharibu baab kama na sisi tunavowachukulia poa washkaji wakizingua, one time nini usitupe masoo ya kutupimia na utuokoe kwenye masoo ,ameen meen
Baba yetu unasizi majuu ,jinalako lihit sana utusome na mamkate mabaga na mazagazaga..utupotezee tukiharibu baab kama na sisi tunavowachukulia poa washkaji wakizingua, one time nini usitupe masoo ya kutupimia na utuokoe kwenye masoo ,ameen meen