Iteitei Lya Kitee
JF-Expert Member
- Jan 2, 2008
- 586
- 46
Taarifa zilizofika hivi punde ni kuwa wale wazee wetu wa iliyokua Jumuiya ya Afrika Mashariki wamekuja na style mpya ya kushinikiza madai yao baada ya kuamua kufunga barabara ya Ali Hasan Mwinyi karibia na Salender ili kuonyesha ni jinsi gani wamechoshwa na usanii na uonevu huu wa serikali yetu.
Hii ni hatua mpya binafsi nimependa style yao LAKINI JE SERIKALI YETU ITAWASIKILIZA au ndo yale yale ya kuziba masikio?
Taarifa zinasema kuwa kikosi cha askari kimetumwa kikiambatana na gari la maji ya kuwasha kwenda kuwaondoa bara barani.
Habari ndio hiyo,
KWELI TUMECHOKA NA MFUMO HUU WA LICHAMA HILI LA JEMBE NA NYUNDO huku kiukweli NI UFISADI NA UBINAFSI
Hii ni hatua mpya binafsi nimependa style yao LAKINI JE SERIKALI YETU ITAWASIKILIZA au ndo yale yale ya kuziba masikio?
Taarifa zinasema kuwa kikosi cha askari kimetumwa kikiambatana na gari la maji ya kuwasha kwenda kuwaondoa bara barani.
Habari ndio hiyo,
KWELI TUMECHOKA NA MFUMO HUU WA LICHAMA HILI LA JEMBE NA NYUNDO huku kiukweli NI UFISADI NA UBINAFSI