Siwezi kukuzuia kuwa na mtazamo negative kuhusu mtizamo wangu, that is normal na ndio uhai nchi. Ukikuta mtu anandika kitu na comment zote ni ndio mzee hiyo jamii inaweza kuwa mfu. Kumbe basi siwezi kukulaumu kwa hilo, lakini ukinisoma vizuri juu ya nilichoaandika hakuna sehemu namtete huyo aitwaye Bashite, lakini siwezi kumhukumu direct as if nina ushahidi mkononi. Sijazaliwa Koromije ladda niseme namfahamu, sijasoma naye na sijawahi kuonana naye ana kwa zaidi ya kumuona kwenye media, mimi sio mwanasiasa kama yeye na wala sipo hapa kutafuta mvuto kwa mtu yeyote yule.
Kama Mtanzania wa wakawaida kabisa na mtumiaji wa mtandao ya kijamii kama jf ambapo ni member wa siku nyingi tu, ingawa ni msomaji zaidi kuliko kuchangia, leo nilidhani ninaweza ku share mtazamo wangu kuhusu hilo swala la DAUDI BASHITE, Lakini sio kwa lengo kwamba kila mtu awe na mtizamo kama wangu ama kutafuta mvuto kwa mtu yeyote. Mvuto ninao kwa mke wangu na familia yangu na labda sehemu yangu ya kazi, siwezi kuhitaji mvuto hata kwa watu tusiofahamiana kama hapa jf ambapo majority tunatumia majina feki, maana naweza kuwa na argue na wewe hapa kumbe tupo ofisi moja ana next door, lakini with our fake names huo mvuto unaousema sijui unakuja vipi