KWEZISHO
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,519
- 6,511
Kama ni pale Barabara ya Kumi na Moja ni vigumu sana kufaulisha mzigoNilishuhudia tukio lile la shehena za viroba kupakuliwa.....ilisikitisha sana.....ila angevihamisha mapema sijui alibugi vipi!