Sakata la umeme nchini sasa limeingia ktk sura nyingine - LUKU

Tangu jana hapa Ar hakuna network ya LUKU na kama mtu amezoea kununua umeme wakati imebaki unit 1 basi wengi jana walikuwa gizani hata baada ya umeme wa mgao kurudi. Hili ni janga jingine la Kitaifa na hii inaonyesha TANESCO ina kansa inayokula kila idara na inasambaa taratibu na mwishowe ipi siku utasikia hakuna umeme kwa sababu nguzo zote zimedondoka chini!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Leo katika habari ya saa saba mchana nimemuona yule mdada wa tanesco afisa uhusiano anasema hakuna luku toka jana ila mafundi wapo kazini eti hata yeye haj lala kwa kushuhulikia tatizo. INAWEZEKANA WATUMIAJI WA LUKU WAKAKAA GIZA KTK SIKU KUU YA IDD
TBC 1
 
nipo ktk hatua za mwisho za kuzalisha mchwa watakaokula nguzo za umeme, haiwezekani mtu unakaa siku sita bila umeme. Bora tujue hakuna kabisa!
 
ni muozo na huu umeme wanaotukatia kila baada ya sekunde wanatuunguzia vitu vyetu na hii luku michosho tu network hamna yaani what a sh.....t with this umeme thing.....we are tireeed n need some big serious change na sio mazoea tuuuuuuu aaghhh nina hasira mpaka maneno hayatokii,,,ngoja ninywe maji kidogo
 
Leo katika habari ya saa saba mchana nimemuona yule mdada wa tanesco afisa uhusiano anasema hakuna luku toka jana ila mafundi wapo kazini eti hata yeye haj lala kwa kushuhulikia tatizo. INAWEZEKANA WATUMIAJI WA LUKU WAKAKAA GIZA KTK SIKU KUU YA IDD
TBC 1

Suala la giza halina cha luku, hata tusiotumia luku ilimradi
tunatumia umeme wa Taa Nee Skooo bado giza ni letu...
 
Ni kweli mashirika yetu mengi vitu vingi vina fanyika kienyeji ndio maana kila mtu serikalini swali moja majbu tofauti utafikiri huwa hawafanyi mkutano pamoja...kwenye luku kuna service charge pia ewura na rea vyote vya nini wakati unalipa toka kwenye simu hakuna anaekuja kusoma mita?HATA HAO EWURA WANAPATA FEDHA NYINGI MNO ZA BURE ZINAKEANDA WAPI PIGA HESABU 3% YA MAUZO YOTE YA TANNESCO KWA MWAKA
 
Hapa kuna jambo la msingi sana kujua mapato na matumizi ya hiyo LUKU. Nadhani kuna elementi za UFISADI
Madhumuni ya kutumia LUKU ni kudhibiti makusanyo yote ya TANESCO yaingie kwenye mfuko halali ili yafanye kazi za kuendeleza nchi hii ya Watanzania, sasa si tunayo haki ya kujua mapato na matumizi ya hizo fedha!!!!!!! Kuonyesha ufanisi wa makusanyo na udhibiti wa hiyo fedha na matumizi yake, vnginevyo kuna QT Mark, tunahitaji majibu????????? Wizara na bodi ya TANESCO vipi????????
 
Mkuu kuna wakati nikinunua umeme wa elfu 10,000 unakatwa 3000 kama base payment au wakati mwingine kinapewa jina lingine. Liliwahi ambiwa na mhasibu wa TANESCO rafiki yangu kuwa kama situmii umeme unaofika laki 2 kwa mwezi sistahili kukatwa base payment au service charge.

Na ili wasikucharge service lazima uandike barua TANESCO warekebishe akaunti yako. Ninajiuliza je ni watu wangapi wenye hizo taarifa za kurekebisha akaunti zao na ni wangapi ambao wanendelea kukatwa bila kujua na je TANESCO wanapelekaga wapi hizo hela batili wanazoibia watu?
 
Ni kweli mashirika yetu mengi vitu vingi vina fanyika kienyeji ndio maana kila mtu serikalini swali moja majbu tofauti utafikiri huwa hawafanyi mkutano pamoja...kwenye luku kuna service charge pia ewura na rea vyote vya nini wakati unalipa toka kwenye simu hakuna anaekuja kusoma mita?HATA HAO EWURA WANAPATA FEDHA NYINGI MNO ZA BURE ZINAKEANDA WAPI PIGA HESABU 3% YA MAUZO YOTE YA TANNESCO KWA MWAKA
Ndg yangu TWNSEED; nchi hii inafilisiwa na wajanja wachache wanatuona sisi ma mbumbumbu mzungu wa reli, wanamatanuzi ya ajabu kwa jasho la walala hoi, tunahitaji tujibiwe????????
 
Huduma za kimtandao ziko poa na hapa tunakamua JF, hakuna kisingizio cha kukosekana kwa LUKU.

Waliambiwa watumie mfumo kama wa vocha za simu lakini vichwa ngumu kwa kuwa wako madarakani kwa maslahi ya kisiasa na sio nchi. Tanesco itakufa na CCM kifo cha mende, haina muda mrefu kusurvive. Ukicheki wafanyakazi wao karibu wote wasanii, wanaomomba rushwa tu kila dakika, hawafanyi kazi kwa bidii na watumia mbinu kama za wapiga ramli kutatua matatizo ya nchi.

Nitashangilia sana siku hili shirika likifa tuanze upya
 
Huduma za kimtandao ziko poa na hapa tunakamua JF, hakuna kisingizio cha kukosekana kwa LUKU.

Waliambiwa watumie mfumo kama wa vocha za simu lakini vichwa ngumu kwa kuwa wako madarakani kwa maslahi ya kisiasa na sio nchi. Tanesco itakufa na CCM kifo cha mende, haina muda mrefu kusurvive. Ukicheki wafanyakazi wao karibu wote wasanii, wanaomomba rushwa tu kila dakika, hawafanyi kazi kwa bidii na watumia mbinu kama za wapiga ramli kutatua matatizo ya nchi.

Nitashangilia sana siku hili shirika likifa tuanze upya
Mody ahsante kwa editting imekaa vizuri zaidi. Wafanyikazi wa hili shirika TANESCO yawezekana na wao wapo gizani hawajui fedha zinazo kusanywa zinatumika vipi??????
Kuna maswali mazito hapo, hasa kwenye LUKU???????
 
tanesco kuna tatizo ila wanafanya siri.mficha ugonjwa kifo kinamuumbua.mia
Wenye kupata shida na huo ujinga wao ni sisi watumiaji wa umeme, kila kitu kinaendeshwa kwa umeme hata mamayeyo anasaga mahindi mashineni wala hatwangi kama watu wa Kilindi zamani. Tuna haki ya kuchimbua ili tujue ukweli uko wapi??????? Watanzania tutaendelea kupelekwa hivyo hadi lini????????????
 
Wenye kupata shida na huo ujinga wao ni sisi watumiaji wa umeme, kila kitu kinaendeshwa kwa umeme hata mamayeyo anasaga mahindi mashineni wala hatwangi kama watu wa Kilindi zamani. Tuna haki ya kuchimbua ili tujue ukweli uko wapi???????


Watanzania tutaendelea kupelekwa hivyo hadi lini????????????
 
Iyo ndo njia bora waloona ya kudumisha mgao....maana umeme wakikata tunalalama..ila wakitunyima luku tunaona bora tumesave
 
Habari za asubuhi wana jamii wenzangu, hivi, mna habari kuwa kama tatizo halitatatuliwa Leo itakuwa ni siku ya nne tangu kukosekana kwa mauzo ya umeme nchi nzima...na sababu network hakuna.

Hii nimeshuhudia mwenyewe jana mara baada ya kuzunguka mji mzima na kukuta kundi la watu wakisubiri huduma ambayo haijulikani itapatikana au laa...hali watu wakiwa wenye hasira kali walilaani na kutoa maneno makali sana jambo ambalo hata mimi nilijikuta napandwa na hasira juu ya sirikali hii ambayo kimsingi inaonekana wazi imevurugika na kukosa mwelekeo. Ambapo sasa naweza kusema kuwa, pamoja na kuwa na mgao mkali wa umeme bado hata upatikanaji wa umeme huo mdogo ni wakusuasua.

Hivi unapokwenda kununua umeme halafu unaambiwa network hakuna, inakuja na kuondoka....jambo lakusikitisha sana, jana nikiwa katika kuhangaika kutafuta umeme nilikutana na shuuda mmoja aliyekuwa anatafuta umeme tangu majuzi na kushuhudia kuwa hawa mawakala wanaouza umeme wa luku wamekuwa wakidai rushwa ili mtu apewe favour Kila network inaporudi na wamekuwa wakitoa 5000/- .

Hii imenisikitisha sana sana.


Poleni sana wajameni, mkoani kwetu tulikuwa tunapata umeme siku mbili tu kwa wiki huku mikoa mingine ikiwa ni full kujiachia enzi zile za mkaaapa na mwiiinyi. Sasa hii inanikumbusha Ule wimbo wa ALI choki, "Wa kutesa kwa zamu". Sisi huku, full kujiachia.



Sijui siku ya leo itakuwaje Ndugu zangu ila habari ndo hiyo, hapo kwenye bold, siku ya leo itakuwaje?????!!!!!, si utalala Giza. kanunue mshumaa, kaka, ila usisahau kuuweka kwenye kisosi cha udongo ili usiunguze nyumba.
 
Iyo ndo njia bora waloona ya kudumisha mgao....maana umeme wakikata tunalalama..ila wakitunyima luku tunaona bora tumesave
Nia yangu ni kutaka kuonyesha kuwa kama TANESCO itakusanya mapato yake vizuri yakaingia kwenye matumizi sahihi, inaweza kujitosheleza kutekeleza miradi mizuri. Kama ya Stieglers Gorge kuzalisha umeme wa uhakika kutosheleza mahitaji ya nchi nzima kwa gharama nafuu!!!!!!!!!!!
Nadhani nina eleweka!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom