janken mbisso
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 248
- 71
wakati sakata la uhamiaji haramu liliendelea na kuchangia kutikisa upande wa magharib mwa Tanzania,limewajaza hofu watanzania waishio kinyume cha sheria ktk nchi za Zambia na Malawi.iwapo hatua hizi zitachukuliwa mikoa ya nyanda za juu kusin na nchi hizo zikajibu basi watanzania ndio. watakaoathirika zaid,Zambia na Malawi zina watanzania Wengi hasa kutoka mkoa wa mbeya waishio bila vibar wengi wao walihamia miaka mingi Sana wengne kabla ya uhuru.
nimejaribu kupitapita Lusaka ktk mitaa)za mandevu,kabwata,cchipata compound,chaisa,georg mpaka maeneo ya biashara kama kamwala na ba comesa watanzania ni wengi mno.kwa majib wa takwimu zisizo rasm Zambia kuna wahamiaji zaid ya 250000 pamoja na vizazi vyao.wengi wao ni wanyakyusa.hali ni ivyo pia upande wa Malawi. serikali ichukue tahadhari ktk hili litavuruga uchumi na maisha ya wengi,
nimejaribu kupitapita Lusaka ktk mitaa)za mandevu,kabwata,cchipata compound,chaisa,georg mpaka maeneo ya biashara kama kamwala na ba comesa watanzania ni wengi mno.kwa majib wa takwimu zisizo rasm Zambia kuna wahamiaji zaid ya 250000 pamoja na vizazi vyao.wengi wao ni wanyakyusa.hali ni ivyo pia upande wa Malawi. serikali ichukue tahadhari ktk hili litavuruga uchumi na maisha ya wengi,