Sakata la Ugaidi wa Lwakatare na uhusika wa Dkt. Mwigulu Nchemba, TISS, Michuzi na Ludovick anayepambana na TEC

Sakata la Ugaidi wa Lwakatare na uhusika wa Dkt. Mwigulu Nchemba, TISS, Michuzi na Ludovick anayepambana na TEC

Heparin

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2021
Posts
440
Reaction score
3,211
Internet haisahau.

Miaka 12 iliyopita katika kesi ya Lwakatare, aliyekuwa mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa CHADEMA, Tundu Lissu, aliwatuhumu mpiga picha wa Rais Kikwete wa wakati huo, Issa Michuzi, Idara ya Usalama wa Taifa (TISS), Waziri Mkuu wa sasa, Mwigulu Nchemba na bwana Joseph Ludovic aliyeibuka hivi karibuni akilituhumu Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) kujiingiza kwenye siasa kuwa walihusika na kuandaa kesi hiyo ya Ugaidi.

Kwa mlolongo huu, inafahamika wazi kuwa anayejiita mkereketwa na muumini wa Kanisa Katoliki Bwana Lodovick anatumika na CCM, na hana uhalali wowote wa kukosoa kanisa.

Inadaiwa, Mtu huyu amekuwa anatumika pia kwenye kazi zingine chafu za CCM, na anapewa sapoti na viongozi wakubwa ambao kila mmoja akitafakari vizuri atawafahamu.




IMG_20251231_130351_861.jpg
 
1. Kwa hyo ukishakuwa ccm na unasali RC hapo tayari huruhusiwi au hutakiwi kuhoji chochote?

2. kwani RC ni idara au tawi ndani ya chadema?

3. lakn ukiwa RC tayari wewe ni ruksa kukosoa serikali?

Daah afadhali huu ukiritimba haupo hapa anglican!
 
Back
Top Bottom