Mkendo
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,132
- 2,226
hahahahah za uso hizo mkuuKipindi wanatajwa mafisadi wa elimu tulishangilia kwelikweli ....lakini baada ya wengine kuhamia chama chetu hii issue ikajifia ndio maana hata hatukumbuki kwamba shujaa wetu alishinda kesi ....siasa za Bongo ....tegemea mashabiki waseme Chadema yupo mmoja waliobaki bado wapo CCM ....jibu rahisi tu ..
Umeelewa?Point yangu ndio iko hapo...utakuta kitabu hakijaingiza hata elfu kumi, ila uliyekiandaa ndio unalipa mamilioni kutoka mfukoni kwako.
Kabla kufanya jambo kujipanga muhimu sana.
Uongo mtupu. Leta ushahidi wa Makongoro kuwa wa kwanza kupata CPA?kweli kuajiriwa utumwa huyu jamaa ndio mtanzania wa kwanza kupata CPA ya uhasibu lakini mpaka Leo kashindwa kulipa hiyo pesa.
mkuu bado una muunga mkono dr slaa?Huyo yupo Chadema siku hizi huwezi kuona matusi humu ....angekuwa bado yuko CCM sasa .....huu uzi ungekuwa na comments zaidi ya buku ....
100% bila woga wala unafiki .....hapo sipepesi macho wala maneno ....uzuri ameacha siasa kabla hajafanya vitu vya ajabu ... amebaki na heshima yake ....asipoitunza nitamuweka kapu moja na Mbowe ....mkuu bado una muunga mkono dr slaa?
Huyo yupo Chadema siku hizi huwezi kuona matusi humu ....angekuwa bado yuko CCM sasa .....huu uzi ungekuwa na comments zaidi ya buku ....
Acha ubwege wewe Lofa.Huyo yupo Chadema siku hizi huwezi kuona matusi humu ....angekuwa bado yuko CCM sasa .....huu uzi ungekuwa na comments zaidi ya buku ....
Kesi ilifutwa, jamaa akadai gharama za kesikama mwandishi hakushinda kesi kama unavyodai, mahanga faini kdg aliyolipa ilikuwa ni kwa ajili gani?!
Sent using Jamii Forums mobile app