Sakata la mwanafunzi kubakwa na mwalimu Jimmy lina ukakasi lakini ipo shida kwa mwalimu

Yule binti mwanafunzi aliyepotea!
Alipatikana akiwa amewekwa kimada na muuza mkaa!

Anasimulia binti huyo alifikia uamuzi huo baada ya kunyanyaswa shule na mwalimu Jimmy!
Binti anazidi kusimulia ilikuwa majira ya chakula alichelewa kufuata chakula, akiwa bwenini alikuja mwalimu akawafurusha wanafunzi!
Binti mwanafunzi kwakuwa alikuwa katoka kuoga akiwa na kanga alikabwa na mwl Jimmy akabakwa!
Baada ya hapo binti akaamua kutorokea mtaani hadi pale alipookotwa na muuza mkaa!

Ukiangalia kwa inje huyu binti unaweza kumuona ni anatabia za kimalaya Malaya huenda alimtega tega sana mwl Jimmy hata kumuahidi penzi lakini muda ulikuwa bado (playing around) yaan kama hataki nataka hadi pale mwl Jimmy akaamua kujichukulia ngono mkonononi! (Kama kweli)

Upande mwingine wa shilingi hata kama binti ni Malaya lakini ifike mahali wanaopewa dhamana hawastahili kuwa sehemu ya uharibifu!

1. Hata kama binti anadanganya je mwalimu Jimmy alifuata nini bwenini la wasichana wakati huwa kuna matron?
2. Hata kama binti anadanganya kwanini mwl atajwe tajwe?
3. Mwl Jimmy naye hatufai kabisa katika safari ya elimu ingawa kabinti kana umalaya lakini siyo sababu ya mwalimu kukiuka miiko ya ualimu
4. Yule binti tujiulize kwanini hajakwenda kwa mwalimu mkuu? Jibu ni jepesi tu HOFU, AIBU na kuhisi kutosikilizwa au kutopewa nafasi ya kusikilizwa huenda kulimfanya ajione hawezi kupata msaada!
5. Kwanini hakwenda kwa wazazi? Jibu ni lilelile hata wazazi wanajua tabia za kimalaya huenda mtoto aliona nako siyo pa kukimbilia sana pengine walimu walishawaambia wazazi mtoto mkaidi! N.k

Hivyo huyu binti pamoja na matatizo yake lakini haimuachi mwl Jimmy salama!

Huyo mwalimu Jimmy hafai kuitwa mwalimu hata kama wanafunzi ni Malaya!

Alichokifanya mwalimu Jimmy hakina tofauti na dakitali anaemuingilia mjazito kisa kamvulia nguo basi dakitali aone mama ananyege kumbe chango la uzazi tu
Yaani wote hapo hawafai kuwepo shuleni ......period kila mtu akaanze maisha yake upya ...kwingine
 
Imefikia siku hizo walimu wengi wamrwageuza watoto vimada wao!

Shule nyingi tu watoto wanagombania mwalimu!
Serikali ikipitisha kura ya siri walimu wengi watatajwa kula wanafunzi!

Nachukia sana hii tabia

Nasimama kama mzazi
Wazazi pia tutimize wajibu wetu, hivi vibinti vya siku hizi ni tatizo, vinapenda sana ngono, haviskilizi wazazi, unakuta kabinti ka form 2 kana boyfriend boda boda, mwalimu, mwanafunzi mwenzie na mkulima.

Worse enough unakuta wengine wanatambulika mpaka Kwa mama nyumbani, kanatumia Simu ya mama kuwasiliana nao, na km hakapo Simu ikipigwa mama hapokei.

Tabia za hiki kizazi zinatia shaka sana kuamini scripts zao, no wonders ukiingia darasa la form 2 unakuta bikra wawili, vyote vishatiana, Tena vingine vyenyewe ndo vina initiate mchakato wa kutiwa.

Wazazi turudi kwenye misingi, tuongee na Watoto. Hali mtaani inatisha sana, nyumba ya kwanza ya pili lazima ukute Binti WA miaka 17 kazalishwa ovyo ovyo katelekezwa, nadhn tatizo laanzia huku.

TUACHE KUWALEA KINA JUNIOR KIZUNGU
 
Yule binti mwanafunzi aliyepotea!
Alipatikana akiwa amewekwa kimada na muuza mkaa!

Anasimulia binti huyo alifikia uamuzi huo baada ya kunyanyaswa shule na mwalimu Jimmy!
Binti anazidi kusimulia ilikuwa majira ya chakula alichelewa kufuata chakula, akiwa bwenini alikuja mwalimu akawafurusha wanafunzi!
Binti mwanafunzi kwakuwa alikuwa katoka kuoga akiwa na kanga alikabwa na mwl Jimmy akabakwa!
Baada ya hapo binti akaamua kutorokea mtaani hadi pale alipookotwa na muuza mkaa!

Ukiangalia kwa inje huyu binti unaweza kumuona ni anatabia za kimalaya Malaya huenda alimtega tega sana mwl Jimmy hata kumuahidi penzi lakini muda ulikuwa bado (playing around) yaan kama hataki nataka hadi pale mwl Jimmy akaamua kujichukulia ngono mkonononi! (Kama kweli)

Upande mwingine wa shilingi hata kama binti ni Malaya lakini ifike mahali wanaopewa dhamana hawastahili kuwa sehemu ya uharibifu!

1. Hata kama binti anadanganya je mwalimu Jimmy alifuata nini bwenini la wasichana wakati huwa kuna matron?
2. Hata kama binti anadanganya kwanini mwl atajwe tajwe?
3. Mwl Jimmy naye hatufai kabisa katika safari ya elimu ingawa kabinti kana umalaya lakini siyo sababu ya mwalimu kukiuka miiko ya ualimu
4. Yule binti tujiulize kwanini hajakwenda kwa mwalimu mkuu? Jibu ni jepesi tu HOFU, AIBU na kuhisi kutosikilizwa au kutopewa nafasi ya kusikilizwa huenda kulimfanya ajione hawezi kupata msaada!
5. Kwanini hakwenda kwa wazazi? Jibu ni lilelile hata wazazi wanajua tabia za kimalaya huenda mtoto aliona nako siyo pa kukimbilia sana pengine walimu walishawaambia wazazi mtoto mkaidi! N.k

Hivyo huyu binti pamoja na matatizo yake lakini haimuachi mwl Jimmy salama!

Huyo mwalimu Jimmy hafai kuitwa mwalimu hata kama wanafunzi ni Malaya!

Alichokifanya mwalimu Jimmy hakina tofauti na dakitali anaemuingilia mjazito kisa kamvulia nguo basi dakitali aone mama ananyege kumbe chango la uzazi tu
Kumbe uwalimu safi sana unajilia tuu mbususu.
Ila madaktari bwana wanachezea mbususu za wake zetu watakavyo
 
Tatizo credibility ya Esther ndogo sana kutokana na historia yake.Ni mwanafunzi mtukutu(kaingia na kibomu,ame dare kunyoa kiduku shule strict,yaani ni yule mwanafunzi anayeenjoy kuwajaribu walimu/ kusumbua walimu/ hana nidhamu!!)
Maswali ninayojiuliza:
1.Kama ni mwanafunzi mzuri ilikuwaje yuko bwenini muda wa kuwa madarasani!(eti alichelewa kwenda kuchukua chakula sijui...kwann awe nyuma ya ratiba ya shule!)
2. Tukio la kudisappear disapper na baadaye kutoroka lilitokea baada ya kukutwa na kibomu kwenye mtihani(kwa mujibu wa maelezo ya wiki zilee),mwalimu Jimmy anaingiaje hapo?
3.Iweje isemwe aliokotwa na muuza mkaa.Mbona muuza mkaa baada ya kumuokota mtu hakumpeleka polisi au hata kwa viongozi wa kijiji au mtaa au kitongoji?Na kama binti alitoroka ili kujiokoa na unyanyasaji wa mwl Jimmy au shule kwa ujumla kwanini hakwenda nyumbani kwao au hata kwa ndugu ikiwa wazazi ni wakali?Si alikuwa anaokoa maisha/ usalama wake?sasa kwanini asiende sehemu sahihi baada ya ku escape shule? If at all!!
4 Kwa kawaida mashuleni na hasa boarding walimu wa nidhamu huchukiwa sana( ni utoto tu lakini ukikua unagundua walimu wale walikuwa na mchango sana kutufanya tuwe bora), na kweli wengi ni wafuatiliaji.Na kwa za tabia Esther tulizoambiwa watz,ni wazi kwa vyovyote alikuwa subject wa mwalimu wa nidhamu mara kwa mara.Hivyo isije ikawa anatumia mwanya huu kujikosha kwa kumuangushia msala mwalimu wa nidhamu.
5.Ile sentensi ya barua ya Esther kuwa sijui mwl jimmy alimfanya awe na maisha magumu shule iangaliwe kwa upana.Huenda maisha magumu kwa huyu binti ilikuwa ni kule kufuatiliwa kinidhamu.
Potentially haka kabinti ni manipulative.Suala hili litazamwe vizuri wanajamii.
Umeandika vema.
Naona watu wengi wanaandika kwa hisia sana.

Feminists wanamhukumu kabisa mwalim Jimmy bila hata kujua anafananaje na kumsikia.
Ukimsikiliza binti kuna maswali mengi kwenye mlolongo wa maelezo yake. Kuanzia kuwa bwenini, kutoroka shule, kutokwenda nyumbani, nk

Ili kutenda haki kuna haja ya uchunguzi mpana zaidi kuanzia shuleni kiujumla na nyumbani kwa binti. Uchunguzi jinsi watoto wanavyolelewa
 
Yule binti mwanafunzi aliyepotea!
Alipatikana akiwa amewekwa kimada na muuza mkaa!

Anasimulia binti huyo alifikia uamuzi huo baada ya kunyanyaswa shule na mwalimu Jimmy!
Binti anazidi kusimulia ilikuwa majira ya chakula alichelewa kufuata chakula, akiwa bwenini alikuja mwalimu akawafurusha wanafunzi!
Binti mwanafunzi kwakuwa alikuwa katoka kuoga akiwa na kanga alikabwa na mwl Jimmy akabakwa!
Baada ya hapo binti akaamua kutorokea mtaani hadi pale alipookotwa na muuza mkaa!

Ukiangalia kwa inje huyu binti unaweza kumuona ni anatabia za kimalaya Malaya huenda alimtega tega sana mwl Jimmy hata kumuahidi penzi lakini muda ulikuwa bado (playing around) yaan kama hataki nataka hadi pale mwl Jimmy akaamua kujichukulia ngono mkonononi! (Kama kweli)

Upande mwingine wa shilingi hata kama binti ni Malaya lakini ifike mahali wanaopewa dhamana hawastahili kuwa sehemu ya uharibifu!

1. Hata kama binti anadanganya je mwalimu Jimmy alifuata nini bwenini la wasichana wakati huwa kuna matron?
2. Hata kama binti anadanganya kwanini mwl atajwe tajwe?
3. Mwl Jimmy naye hatufai kabisa katika safari ya elimu ingawa kabinti kana umalaya lakini siyo sababu ya mwalimu kukiuka miiko ya ualimu
4. Yule binti tujiulize kwanini hajakwenda kwa mwalimu mkuu? Jibu ni jepesi tu HOFU, AIBU na kuhisi kutosikilizwa au kutopewa nafasi ya kusikilizwa huenda kulimfanya ajione hawezi kupata msaada!
5. Kwanini hakwenda kwa wazazi? Jibu ni lilelile hata wazazi wanajua tabia za kimalaya huenda mtoto aliona nako siyo pa kukimbilia sana pengine walimu walishawaambia wazazi mtoto mkaidi! N.k

Hivyo huyu binti pamoja na matatizo yake lakini haimuachi mwl Jimmy salama!

Huyo mwalimu Jimmy hafai kuitwa mwalimu hata kama wanafunzi ni Malaya!

Alichokifanya mwalimu Jimmy hakina tofauti na dakitali anaemuingilia mjazito kisa kamvulia nguo basi dakitali aone mama ananyege kumbe chango la uzazi tu
Ulikuwepo ndugu mwalimu jimmy ana haki yake na Ester ana haki yake
 
Sawa alinyanyaswa ila kwa nini asiende nyumbani kwa wazazi wake aende kuishi kinyumba na baba jose?
Hiv ww na hilo fuvu lako unadhan ikionekana ni kweli alibakwa unadhan tutafika kutaka kujua kwann alienda kwa baba Jose na sio kwa wazazi,na apo kasema baba jose alimuokota sio kwmb alienda.
Swala ni kwmb hata uyo dogo angekua malaya wa kutupwa hata bwana Jimmy angemkuta dogo katawanga mapaja hostel bado hatakiwi kumla,,mwanaume yyte kamili anapaswa kuelewa hatakiwi kujihusisha na mwanafunzi ambae hajafika chuo
 
Nina mdogo wangu ana vitabia kama vya huyo binti, hawa madogo wakianza kuukalia hufanya lolote ilimradi tu akaukalie.

Yule dogo alikua ni pretender mzuri mnoo, kama wewe ni mgeni na ukaambiwa/ ulikua unaskia tuhuma zake ukaja kumuona live huwezi kuamini, kwanza utahisi anaonewa.

Yaani hapo unawezakuta hao wote wameangushiwa jumba bovu ila kuna mnyoa kiduku ndo alikua kwake ila anamlinda coz akimtaja ataonekana wa ajabu.
 
Hiv ww na hilo fuvu lako unadhan ikionekana ni kweli alibakwa unadhan tutafika kutaka kujua kwann alienda kwa baba Jose na sio kwa wazazi,na apo kasema baba jose alimuokota sio kwmb alienda.
Swala ni kwmb hata uyo dogo angekua malaya wa kutupwa hata bwana Jimmy angemkuta dogo katawanga mapaja hostel bado hatakiwi kumla,,mwanaume yyte kamili anapaswa kuelewa hatakiwi kujihusisha na mwanafunzi ambae hajafika chuo
Kwa hiyo akili yako ya darasa la 3 unaona solution ya kubakwa ni kutoroka shule? Shule ina walimu wa kike, ina matron, ina mkuu wa shule, ina mwalimu wa nidhamu na malezi angeweza kuripoti huko baada ya kufanyiwa tukio la kubakwa. Eti aliokotwa na baba jose? Aliokotwa ndani ya shule then akakubali kuishi kama mke huku akiwa kajibadirisha jina? Let's say aliokotwa kweli wewe ukimuokota mwanafunzi unaanza kuishi nae kama mkeo?
Kitendo cha mwanafunzi kubakwa na mwalimu kiko sensitive sana kwa mwanafunzi angetoroka shule na kwenda nyumbani kutoa taarifa kwa wazazi hata angeokotwa na huyo baba jose angeomba amsaidie kufika nyumbani kwao.
 
Kwa mtu aliesoma hadi kaingia ktk jukwaa hili la Great thinkers haitaji kuwa na PhD kujua kuwa huyo Mwanafunzi ni mfa maji tu. Kwa alichokifanya na anachoongea baada ya alichokifanya ni mbingu na ardhi. Kwanza alistahili ale viboko very classic. Ni mjinga, mchonganishi, na mfitinishi asiye na haya. Waliosomea psychology hawaangaiki na utumbo anaoongea. Ni mtoto wa hovyo sn.
Hakuna serikali duniani inayofanya maamuzi km hayo unayofikiria mzee,kwa serikali huyo ni mwanafunzi ,mtu yyte anaedhibitika kumharass mtoto duniani kote huwa ni adui wa kila mwananchi bila kujali tabia za mtoto huyo mfn R kelly kwa US.

Kwa namna yyte Mwl Jimmy na Baba Jose wanatakiwa kuwajibika kwa miaka mingi ndani ikidhibitika wamefanya ivyo,

Ndo mana serikali ikaweka kikomo cha viboko viwili km adhabu kwa watoto ama suspension ya muda stahiki
 
Kwa hiyo akili yako ya darasa la 3 unaona solution ya kubakwa ni kutoroka shule? Shule ina walimu wa kike, ina matron, ina mkuu wa shule, ina mwalimu wa nidhamu na malezi angeweza kuripoti huko baada ya kufanyiwa tukio la kubakwa. Eti aliokotwa na baba jose? Aliokotwa ndani ya shule then akakubali kuishi kama mke huku akiwa kajibadirisha jina? Let's say aliokotwa kweli wewe ukimuokota mwanafunzi unaanza kuishi nae kama mkeo?
Kitendo cha mwanafunzi kubakwa na mwalimu kiko sensitive sana kwa mwanafunzi angetoroka shule na kwenda nyumbani kutoa taarifa kwa wazazi hata angeokotwa na huyo baba jose angeomba amsaidie kufika nyumbani kwao.
Unashindwa kujua case ya msingi apa ni nn?!
Mtoto kubakwa ama sio?!
Hayo ambayo unayoyataka ww kwmb alitakiwa kufanya nn baada ya tukio hilo ni baadae..

What if mfumo wa shule sio rafiki kwa wanafunzi kureport case km iyo?!

What if imewah kutokea before mwanafunz kureport na hamna kilichofnyika?!
Ndo mana kuna haya ya case hii kufika mahakamani km wazaz wa dogo walivyoomba!!

Na kwa baba Jose km bado yuko hai mpk sasa nae atawajibika mana ametake advantage kumrubuni dogo akijua ni mwanafunzi na hata km hakujua ilipaswa kufatilia kabla ya kuishi nae

Umeyaconsider haya we fuvu?!
 
Back
Top Bottom