chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,115
Hakika TLS yuko makini sana. Lakini AJABU ni kuwa mtoa mada WA LEO ameonesha ana UCHUNGU mwingi kuhusu WIZI katika sekta ya madini kama vile wizi huu umeanza leo. Walichosema wenye uchungu na nchi walikidharau na kukikebehi sababu tu ya wingi wao Bungeni....Hakika Tundu Lissu ni mtu makini sana