Sakata la madini: Tundu Lissu ategua kitendawili

Tatizo wabunge wengi ni vilazaz, sijawah kuona umuhimu wao zaidi ya kututia hasara kwa posho za makalio
 
Dhima ya siasa za watawala mara zote ni kuwaelekeza watu mbali kabisa na uhalisia..!!
 
Kwa mujibu wa historia, kila kilichopiganiwa na wapinzani kitatimia.
Ni kweli. Maana pia waliwahi kutamka kwamba wanahitaji Rais mwenye maamuzi. Awe pia rais serious asiye cheka cheka na mkali.

Alipoingia ikulu waliyemtaka wakaanza tena kumkataa.

Sijawahi waelewa hawa jamaa ni nini wanataka zaidi ya kwenda ikulu.
 
Haya mambo watu wameimba sana Lakini watu wakaweka pamba masikioni, wakienda wanapewa vikoleo vya dhahabu wanasepa. Sijui ni Nchi gani hii eti mkataba wa madini wabunge, ambao ni wawakirishi wa wananchi hawaruhusiwi hata kuuona, Sijui kuna siri gani, inatia hasira sana. Yaani watu watu wanne au sita ndo wanasaini na kuruhusiwa kuona, mikataba inayogharimu mamilioni ya watanzania. Wabunge wanachekelea wanapitisha tu sheria kichama, mxiuuuuu . Hongera Magufuri you have decided to stand out from them
 
Hivi mada inaongelea kivuko au madini. Umeona hiyo clip inayomwonyesha Magu lakini?
Usichanganye mada. Anzisha uzi wako wa kivuko tuuchambue uzalendo wa Magu. Usituchanganyie mada

Yote ni yale yale hakuna jipya.Atuambie na kile kivuko,tunachoongelea hapa siyo madini bali kuporwa raslimali zetu,na matumizi mabaya ya madaraka.Upo.Bilioni nane alizonunulia kivuko kibovu nazo ni mali ya Taifa upo?

Uchafu ni uchafu,usije ukasema uchafu huu unanuka zaidi ndiyo uchafu wote ni uchafu tu
 
Hapa Tundu Lisu yupo? Msimpatie sifa za Bure huyo TL wenu hana jipya. Kinachomfanya mmpende ni kukosa nidhamu. Hana malezi. Hapa ni JPM mwenyewe kabla hata ya kuwa Rais.

Una akili za kuvukia bara bara tu wewe hatukulaumu , hasara kwa wazazi wako.
 
Mkuu, Hata mimi nimebaki nawashangaa hawa majamaa. Sijui wanahusisja vipi anayoongea Lissu na hili suala la makontena.
Maana Lissu anaongelea masuala ya dhahamu na rasilimali zetu wakati Yale makontena yaliyokua yanachuñguzwa ni Makontena ya nguo za mitumba na vifaa vya umeme.

Sidhani kama huyo kilaza atakuelewa.
 
kwa hiyo clip inabidi rais awaangalie wabunge wote waliopotisha sheria ya madini kuanzia mwaka 1997 na kuendelea . na kama wabunge wapo wachukuliwe hatua kwa kusababisha taifa lupata hasara.
Una utani mbaya! Umejiuliza miswada hiyo ikipita JPM alikuwa wapi??
 
A lack of checked balance, hakuna kingine. Hatuna mfumo thabiti wa kudhibitiana kwa watoa maamuzi. Wabunge tuliowapa kazi ya kuisimamia serikali, bado wanatunga kanuni, tena kwa kuomba mapumziko ili kupata miongozo toka kwa vyama vyao. Washauri wa wa wakuu wetu wapo? Hakuna anaefurahia kuibiwa, hata mwizi. Makampuni makubwa ni wezi, inajulikana dunia nzima. Lakini je, ilikuwa sahihi kwa mkuu kutoa maamuzi yoyote jukwaani kwa report aliyokabidhiwa dakika kadhaa nyuma? Angejipa muda wa kuisoma report, akashauriana na wasaidizi wake(si dkika 5 walizotumia) ingesaidia sana. Ukiwa na hasira usitoe maamuzi. Furaha yetu itayeyuka pale wananchi tutakapo anza kulipia uvunjaji mikataba bila ushauri wa kitaalamu.
 
Hawa ccm hawana lolote huu nimchezo wakuigiza wala hakunakitakachoendelea hapo.. Ccm ndiyo chanzo cha matatizo yote haya mikataba mibovu kufuta kodi bilautalatibu bila ccm hii cnhi ingekuwa tajili sana ilakwasababu ya ccm tumebakia kiwa wachochole
 
Back
Top Bottom