Sakata la madini: Tundu Lissu ategua kitendawili

Ifahamike kwamba mapigano makubwa kati ya serikali na upinzani juu ya sakata la madini/mirabaha/mikataba lilianzishwa siku nyingi sana bungeni, mwanzo kabisa alikua mh Mnyika akiwa waziri kivuli wa madini, Zitto kabwe na kwenye mambo ya mikataba Tundu Lisu alikua mwiba mkali sana.

Sasa hatimaye kitendawili kimeteguliwa alichokua anakipigania na matokeo ya tume ya madini vimeenda sawa.

Tazama hapa.


Anachosema tundulissu hakina uhusiano wowote na konteina. Alikuwa analaani hati ya dharura, mbinu yao kurefusha mijadala wapate posho na umaarufu wa kupiga kelele. Makonteina yasingeshikwa hata kama sheria ingejadiliwa nusu mwaka. Body language yake pia inakinai?!
 
Tanzania bawan inafurahisha kweli, yakifanyika mabaya ya serikali, serikali ikifanya vizuri ya upinzani.
 
hawajipendekez. ni kwel na kila mtu anajua haya yote yanayotendeka yalipiganiwa sana na wapinzani haswa chadema. mnyonge mnyongeni lakin haki yake mpeni. na hii ndo kaz ya upinzani. ukichukia ni kwa vile umejaa chuki binafsi tu. kalagha baho

UVCCM 99% ni wanafiki na watu wa kusimamia matumbo yao tu.
 
Uzalendo wa huyu mzee haukuanza kwa lissu kuongea ulianza kitambo kabla lissu hajawa hata mbunge
 

Attachments

  • VID-20170524-WA0006.mp4
    1.8 MB · Views: 13
Anachosema tundulissu hakina uhusiano wowote na konteina. Alikuwa analaani hati ya dharura, mbinu yao kurefusha mijadala wapate posho na umaarufu wa kupiga kelele. Makonteina yasingeshikwa hata kama sheria ingejadiliwa nusu mwaka. Body language yake pia inakinai?!
Kama hufanyi makusudi basi uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana !!
 
Anachosema tundulissu hakina uhusiano wowote na konteina. Alikuwa analaani hati ya dharura, mbinu yao kurefusha mijadala wapate posho na umaarufu wa kupiga kelele. Makonteina yasingeshikwa hata kama sheria ingejadiliwa nusu mwaka. Body language yake pia inakinai?!

Kama Mikataba na sheria zake ningekuwa makini na nzuri Leo issue ya mchanga isingekuwepi.

Lissu hoyeeeeeeeeee.Halafu MTU aliyepitisha misaada mbovu ya sheria akiwa Waziri Leo tunampigia makofi,tuache unafiki. aliyetuletea kivuko kibovu cha mwaka 1928 kutumia Bilioni nane ati anasema Mchanga tuache unafiki wote ni wale wale Majambazi na majangili ya raslimali zetu..Sitamshangilia yeyote bora angekuwa haijawahi kuwa Mbunge labda ningemfikira.Waziri miaka 20,walichokuwa wanapitisha walijua ni kwa ajili ya kujaza matumbo yao sikuwahi kumuamini,siyomuamini sijamuamini.MTU anayemkingia kifua Jangili DAB ati msafi maweeeee
 
Uzalendo wa huyu mzee haukuanza kwa lissu kuongea ulianza kitambo kabla lissu hajawa hata mbunge

Iyetuletea kivuko kibovu ndiyo Mzalendo??Huyu aliyetumia bilioni nane za.kivuko cha 1928 ati Mzalendo basi hata JKN na Mkapa ni wazalendo.
 
Bila kujali mambo ya uvyama,kama Wabunge wa CCM wataanza kuwa makini,mambo mengi ya hovyo yasingetokea. Kumbuka hiyo video Clip ni ya muda mrefu,lakini leo yanatimia.Sasa mchangiaji imekuuma kuona kwamba aliyoyasema Tundu Lissu zamani leo yanatimia. Kwa ushabiki wako ukadhani Tundu Lissu aliongea leo,kumbe ni muda mrefu. Tukubali tu kuwa katika Taifa,watu kama Tundu Lissu,JPM tunatakiwa tuwe nao kama 100 hivi,tutafika mbali sana.
Kwani JPM hakuwemo kwenye hiyo cabinet kabla mswada haujaenda bungeni??na kama alikuwepo alifanya nn kama mzalendo au na yeye alikaa kimya kulinda ugali wake.....
 
kwa hiyo clip inabidi rais awaangalie wabunge wote waliopotisha sheria ya madini kuanzia mwaka 1997 na kuendelea . na kama wabunge wapo wachukuliwe hatua kwa kusababisha taifa lupata hasara.
 
Tatizo wabunge wa CCM wote ni VILAZA.
Na ndio maana tunashuhudia utumbo huu.
 
Hapo ndipo watz tunapoonekana hatuna kitu kichwani kwa hoja mfu kama hizi ,hao chadema wanaingiaje hapa ?na ukizungumzia majizi nadhani utafahamu nani wahalifu katika jambo hili,ni wakati wa kuweka mshikamano kama watz na kumuunga mkono Rais wetu katika kukabiliana na tishio hili kuu la uchumi wetu ,tupunguze comment za kipumbavu za kunyooshea vidole wasio husika ,tubadilike katika matumizi ya akili zetu!
ciakuelewa mkuu. kwani mkulu c alikuwepo kwenye baraza LA mawazir lililoridhia sheria ya madini ya kinyonyaji ? pia wakati wakina zitto na lissu wanadai mikataba ya madini iwekwe wazi kwa wabunge wao walikuwa wanakaza isitoke. au? anyway hapa Mimi naona kuna jambo limejificha muda c mrefu litakuwa wazi.
 
Iyetuletea kivuko kibovu ndiyo Mzalendo??Huyu aliyetumia bilioni nane za.kivuko cha 1928 ati Mzalendo basi hata JKN na Mkapa ni wazalendo.
Hivi mada inaongelea kivuko au madini. Umeona hiyo clip inayomwonyesha Magu lakini?
Usichanganye mada. Anzisha uzi wako wa kivuko tuuchambue uzalendo wa Magu. Usituchanganyie mada
 
Back
Top Bottom