lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
Mkapa aliwai kuwaita wapinzani malofa,na wajinga,swali kati ya mtu aliyegawa madini yetu bure,na aliyetetea madini yetu yabaki kwa faida yetu,ni nani lofa?Vijana wa Lumumba povu linawatoka kama hii nchi iliongozwaga na upinzani ntakubaliana na ww vingnevyo ccm ndo mmeitia nchi hasara alafu Leo mnajifanya sio nyinyi ebu acheni upuuzi wenu
Go back to SCHOOL dude
Swissme