Sakata la madini: CCM kama chama hakina kosa

Teh teh teh
Baada ya kusikia mwenyekiti wao anagawa vyeo kwa watu wanaomsifia basi watoto wa Lumumba wanapishana tu kupongeza ujinga. Mikataba mibovu wasaini wao halafu wajione wasafi teh teh teh
Issue ya kula rambi rambi haiwezi kuwaacha salama.
 
Teh teh teh
Baada ya kusikia mwenyekiti wao anagawa vyeo kwa watu wanaomsifia basi watoto wa Lumumba wanapishana tu kupongeza ujinga. Mikataba mibovu wasaini wao halafu wajione wasafi teh teh teh
Issue ya kula rambi rambi haiwezi kuwaacha salama.
Kweli wagonjwa ni wengi, mikataba ilisainiwa na ccm??, yofautisha chama na serikali zilizokwepo. Wataje wahusika, na sio chama
 
CCM kama chama hakihusiki wanaohusika ni ndugu zako waliweka mbele maslahi yao. Kumbuka mafidai wanapida dili na wapinzani katika kulinda maslahi yao. Kumbuka Zito anamiliki magari ya Mh. Nimrod Mkono ili kulinda makosa yake. Pia kama mwenyekiti wa PAC alikuwa anaishi kwa kulipwa na taasisis nyingi ili kulinda maslahi ya majangalili wa rasilimali zetu.
Weka chama chako pembeni tupambane na hawa walanguzi wa kisiasa.

Tatizo lako umejaa kichwani UKADA,hivi Mkapa,Chenge,JK,Kalemani wako vyama gani??Acha ujinga,peleka upumbavu Lumumba na msidhani Watanzania ni wapumbavu sawa eh.
 
Habarini wanaJF.

Naomba nianze kwa kutoa pongezi kwa mheshiwa rais John Pombe Magufuli pomoja na mama Samia (Makamu wa rais), na waziri mkuu Mh.Khassim Majaliwa kwa kasi na maamuzi na maamuzi yao juu ya sakata la mchanga.

Hakika nimevutiwa na "combination" yao ya utatu usiotikisika. Mara nyingi Mh.Magufuli anapofanya maamuzi magumu basi utamsikia akisema "nimekubaliana na wenzangu"na tumeamua................ hii inaonyesha wazi kwamba "they are all sailing on the same boat". Maadui wamejaribu kuwatenganisha ili wampige baba vizuri lakina wameshindwa . Walaaniwe!

Katika suala la mchanga nimewasikia wanasiasa wanaotumikia matumbo yao wakiilaumu CCM kuwa ndio chanzo cha matatizo yote haya. La hasha!

Pia wamesikaka wengine wakimdhihaki Mh. JPM kwamba anafanya siasa kwa sababu alikwepo kwenye chama wakati yote haya yanafanyika na hivyo alitakiwa kuchukua hatua. Hapa watoa tuhuma ndio wanafanya siasa, wanaogopa kuzidiwa kete.

Mh. Rais kwa busara kubwa kabisa ameunda tume mbili mmoja ikiwa ni ya wanageojia na watalaam wa chemia na nyingine ikiwa ni ya wanasheria na wachumi. Bravooooooo!, Alijua kila kitu na zaidi ya maneno ya "the blind". Kamati ya pili watatoa muongozo wa what next kisheria na kiuchumi. Kama Lissu "The blind" angekuwa mzalendo basi angeenda kutoa maoni yake kwenye tume ya pili ya mh.rais au angeomba kujiunga na tume kwa maslahi ya nchi yake na jamii yake kwa ujumla.

Kwa makusudi kaamua kujiunga na yule adui wa nchi.

Naomba labda niwafumbue macho kidogo hawa vipofu wa maono. Mh. JPM hakuwahi kuwa waziri wa nishati na madini katika kipindi chote cha uongozi kama kumbukumbu zangu ziko sahihi amewakuwa waziri wa ujenzi, waziri wa uvuvi nk. Na katika wizara alizopitoa alivunja rekodi kwa kufanya mabadiliko makubwa na ya kushangaza. Alipokuwa uvuvi hata samaki wa nyumba ya mungu walisikia uwepo wake wakaanza kuelea juu ya maji wakijisikia wako salama dhidi ya wavuvi haramu.


Mara nyingi alikuwa akikwazwa na mabosi wake kwa kupindisha sheria (kubumbuka sakata la malori ya mizigo). Na kwa kipindi hiki wakina Lissu "the blind" alikuwa anasema Magufuli anatembea na barua ya kujiuzulu lengo la kumdhoofisha JK.

Chama kama chama hakina uhai wa kibinadamu, hakiongei, hakipumui, hakisain chochote, hakijui kusoma wala kuandika, hakijawahi kusafiri kwenda nje kusain mikataba na hakina makuu.

Chama hakikuwahi kuwatumu watu kusain mikataba ya madini, wala kusimamia zoezi lenyewe kwa wakati wowote ule kwa hiyo hakiistahili kulaumiwa kwa njia yoyote ile.

Waliosain mikataba na kufanya maamuzi mabaya ya madini ni ndugu zetu, makabila yetu, ni jirani zetu na ni marafiki zetu kwa njia moja au nyingine na sio CCM. Tuwanyooshee vidole kwa uhusiano wetu wetu tulionayo na wezi hawa.

Ifike mahali kila aliesain mkataba mbovu na abebe msalaba wake yeye na ndugu zake. Kama Karamagi alisain mkataba wa ovyo basi wahaya wote waanze kwa kumlaumu ndugu yao kwa kuwachafulia jina na kuwafanya waonekane wezi mbele ya jamiii.

Na kama Lowasa alihusika kwa njia yoyote ile kwenye kusain mkataba wowote mbovu wa richond basi abebe msalaba wake na wamaasai wote waanze kwa kumnyoshea kidole mwenzao kwa tabia ziligharimu nchi na zinaendelea kutugharimu mpaka leo.

Kumekuwa na tabaia ya watu kufanya maamuzi kwa kutangulia matumbo yao mbele. Wanapokula hela hizo hela haramu ni familia zao ndizo zinafurahia ila linapokuja lawama basi zinarushwa kwenye chama utafikiri chama nacho kina watoto au familia.. Mkome!!!


Rais na timu yake wameamua kurekebisha makosa yaliofanywa na ndugu zenu ili nyie mbaki salama lakini bado hao hao wezi wameamua kutumia mawakala wao kukwamisha mabadiliko haya. Tuwalaani kwa nguvu zote!!, Tuwambie sasa basi!

Tuungane kwa pamoja kupambana na wezi hawa wa fikra na sponsors wao!!


Ahsanteni kwa kuisoma na kuielewa
Kwanini kwenye mafanikio chama kibebe sifa ila kwenye majanga watu binafsi ndio wabebe lawama na si chama?
 
Hata mimi ninakuunga mkono kwa sauti ya juu. Haya mambo ya vyama tuyawekeni pembeni tudili na wahalifu kama anavyofanya Magufuli.
Wakati akitumbua haangalii chama. Hata ninavyoona sasa, mibaka uchumi ya Ccm kayavuruga na huenda akayamaliza na chama kusafishika.
Tukianza kuweka u- chama kwenye wizi basi kama taifa kwa umoja wetu, sote tunahusika, maana uanachama wa vyama vya kwenye brief case ni rahisi sana mtu kuhama hasah anaponyimwa kiti cha kuendeleza wizi wake na imekuwa kamchanganyikeni. Wa ccm ndiyo haohao wa chadema, hawapaki hata mikorogo kubadili umbo, sura zao ni zilezile tunawafahamu.
Leo wapo ccm kesho wapo cdm. Tusemeje sasa?
Wapi turushe rungu letu kupiga? Ninadhani ni kwa nafsi halifu binafsi na si kulaumu jumuia.
Hata kwenye mafanikio,tupongeze mtu binafsi na si chama!
 
Habarini wanaJF.

Naomba nianze kwa kutoa pongezi kwa mheshiwa rais John Pombe Magufuli pomoja na mama Samia (Makamu wa rais), na waziri mkuu Mh.Khassim Majaliwa kwa kasi na maamuzi na maamuzi yao juu ya sakata la mchanga.

Hakika nimevutiwa na "combination" yao ya utatu usiotikisika. Mara nyingi Mh.Magufuli anapofanya maamuzi magumu basi utamsikia akisema "nimekubaliana na wenzangu"na tumeamua................ hii inaonyesha wazi kwamba "they are all sailing on the same boat". Maadui wamejaribu kuwatenganisha ili wampige baba vizuri lakina wameshindwa . Walaaniwe!

Katika suala la mchanga nimewasikia wanasiasa wanaotumikia matumbo yao wakiilaumu CCM kuwa ndio chanzo cha matatizo yote haya. La hasha!

Pia wamesikaka wengine wakimdhihaki Mh. JPM kwamba anafanya siasa kwa sababu alikwepo kwenye chama wakati yote haya yanafanyika na hivyo alitakiwa kuchukua hatua. Hapa watoa tuhuma ndio wanafanya siasa, wanaogopa kuzidiwa kete.

Mh. Rais kwa busara kubwa kabisa ameunda tume mbili mmoja ikiwa ni ya wanageojia na watalaam wa chemia na nyingine ikiwa ni ya wanasheria na wachumi. Bravooooooo!, Alijua kila kitu na zaidi ya maneno ya "the blind". Kamati ya pili watatoa muongozo wa what next kisheria na kiuchumi. Kama Lissu "The blind" angekuwa mzalendo basi angeenda kutoa maoni yake kwenye tume ya pili ya mh.rais au angeomba kujiunga na tume kwa maslahi ya nchi yake na jamii yake kwa ujumla.

Kwa makusudi kaamua kujiunga na yule adui wa nchi.

Naomba labda niwafumbue macho kidogo hawa vipofu wa maono. Mh. JPM hakuwahi kuwa waziri wa nishati na madini katika kipindi chote cha uongozi kama kumbukumbu zangu ziko sahihi amewakuwa waziri wa ujenzi, waziri wa uvuvi nk. Na katika wizara alizopitoa alivunja rekodi kwa kufanya mabadiliko makubwa na ya kushangaza. Alipokuwa uvuvi hata samaki wa nyumba ya mungu walisikia uwepo wake wakaanza kuelea juu ya maji wakijisikia wako salama dhidi ya wavuvi haramu.


Mara nyingi alikuwa akikwazwa na mabosi wake kwa kupindisha sheria (kubumbuka sakata la malori ya mizigo). Na kwa kipindi hiki wakina Lissu "the blind" alikuwa anasema Magufuli anatembea na barua ya kujiuzulu lengo la kumdhoofisha JK.

Chama kama chama hakina uhai wa kibinadamu, hakiongei, hakipumui, hakisain chochote, hakijui kusoma wala kuandika, hakijawahi kusafiri kwenda nje kusain mikataba na hakina makuu.

Chama hakikuwahi kuwatumu watu kusain mikataba ya madini, wala kusimamia zoezi lenyewe kwa wakati wowote ule kwa hiyo hakiistahili kulaumiwa kwa njia yoyote ile.

Waliosain mikataba na kufanya maamuzi mabaya ya madini ni ndugu zetu, makabila yetu, ni jirani zetu na ni marafiki zetu kwa njia moja au nyingine na sio CCM. Tuwanyooshee vidole kwa uhusiano wetu wetu tulionayo na wezi hawa.

Ifike mahali kila aliesain mkataba mbovu na abebe msalaba wake yeye na ndugu zake. Kama Karamagi alisain mkataba wa ovyo basi wahaya wote waanze kwa kumlaumu ndugu yao kwa kuwachafulia jina na kuwafanya waonekane wezi mbele ya jamiii.

Na kama Lowasa alihusika kwa njia yoyote ile kwenye kusain mkataba wowote mbovu wa richond basi abebe msalaba wake na wamaasai wote waanze kwa kumnyoshea kidole mwenzao kwa tabia ziligharimu nchi na zinaendelea kutugharimu mpaka leo.

Kumekuwa na tabaia ya watu kufanya maamuzi kwa kutangulia matumbo yao mbele. Wanapokula hela hizo hela haramu ni familia zao ndizo zinafurahia ila linapokuja lawama basi zinarushwa kwenye chama utafikiri chama nacho kina watoto au familia.. Mkome!!!


Rais na timu yake wameamua kurekebisha makosa yaliofanywa na ndugu zenu ili nyie mbaki salama lakini bado hao hao wezi wameamua kutumia mawakala wao kukwamisha mabadiliko haya. Tuwalaani kwa nguvu zote!!, Tuwambie sasa basi!

Tuungane kwa pamoja kupambana na wezi hawa wa fikra na sponsors wao!!


Ahsanteni kwa kuisoma na kuielewa
Ccm kama chama kinapaswa kusimamia nidhamu ya wanachama!Viongozi wa kisiasa serikalini hutokana na vyama,wakifeli ni chama kimefeli kumuweka mtu muadilifu hivyo hakiwezi kukwepa lawama!Ni sawa na kocha,asajili kikosi kibovu halafu wakifungwa walaumiwe wachezaji peke yao eti kisa yeye sio mchezaji!No,wa kwanza kulaumiwa ni kocha,madudu ya viongozi chama hakikwepi lawama!
 
CCM janga la Taifa...nyumba ya serikali anauziwa kimada asiyekuwa mfanyakazi wa serikali..uzalendo huko wapi...kulianzisha tu hakuna namna
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom