Magema Jr
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 1,299
- 1,201
•Manununuzi ya vitu vyote katika wilaya au halmashauri hujadiliwa na baraza la madiwani .
•Hivyo ununuzi wa magari hayo ulilidhiwa na wajumbe wa mikutano hiyo (bila shaka).
•ofisi ya waziri mkuu ndio wanaopitisha manunuzi na matumizi ya fedha kama hayo.
•hivyo waziri mkuu na kikundi chake ni wahusika wa moja kwa moja katika hili.
•waziri mkuu anatupaka uji but ukweli anaufaham wooote!!
•Tayari mkurugenzi wa kahama manispaa ameshasamehewa means kesi haina nguvu tena (kama huyu amesamehewa ,je hawa wengine??,hawasameheki kwa kipi??)
•jiwe hawezi kumtoa swaiba wake majaliwa katika kiti chake.
•aliyeitoa taarifa/aliyebumbulua mambo (JKMsukuma)tayari ameshapatanishwa na huyo mkurugenzi wa Geita ndio maana hali ni shwariii.
•sioni tija ya kutudanganya kuwa eti tunafuatalia wakati naona ni jokes!!
Ushamba sanaa huu
#jr
#uvccm taifa
•Hivyo ununuzi wa magari hayo ulilidhiwa na wajumbe wa mikutano hiyo (bila shaka).
•ofisi ya waziri mkuu ndio wanaopitisha manunuzi na matumizi ya fedha kama hayo.
•hivyo waziri mkuu na kikundi chake ni wahusika wa moja kwa moja katika hili.
•waziri mkuu anatupaka uji but ukweli anaufaham wooote!!
•Tayari mkurugenzi wa kahama manispaa ameshasamehewa means kesi haina nguvu tena (kama huyu amesamehewa ,je hawa wengine??,hawasameheki kwa kipi??)
•jiwe hawezi kumtoa swaiba wake majaliwa katika kiti chake.
•aliyeitoa taarifa/aliyebumbulua mambo (JKMsukuma)tayari ameshapatanishwa na huyo mkurugenzi wa Geita ndio maana hali ni shwariii.
•sioni tija ya kutudanganya kuwa eti tunafuatalia wakati naona ni jokes!!
Ushamba sanaa huu
#jr
#uvccm taifa