Sakata la Lissu "Handle with care"

Dj ameweka CD ya makirikiri sasa hivi Mwigulu Nchemba na vijana wake majasho yanawatoka wanasakata makirikiri pale uwanja wa taifa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
hivi lisu ndo nani mbona mna mpa kiki bure , ndo maana hata media hazimpi umaarufu wowote KUTOA habari zake
Media zipi? hapo tu hata wewe ushamtaja[emoji12] [emoji12]
 
Kuna kitu kinaitwa Presidential Decree.
Huko tulishatoka zamani sana,sasa tunaongozwa na katiba!Kipindi hicho Rais akisema jambo ndio linakuwa sheria hata angesema kuanzia leo kigoma inakuwa sehemu ya burundi,ndio inakuwa hivyo!Si sasa ambapo tuna muongozo wa uongozaji serikali!
 
Nimesikia et kamanda wa police Singida anadai wanawasiliana na TCRA et wamfungie Lissu kwny mitandao ya kijamii.
Kisa aliwezaje kutuma jumbe huko baada ya kukamatwa.VITUKO
 
Tatizo kubwa la watawala wetu ni kuishi zama za akina Nyerere, Kenyata sr, Idd Amini nyakati ambazo viongozi walikuwa miungu watu.

Leo ni tofauti kabisa na wanavyodhani, uelewa wa watu umeongezeka na ule woga wa vitisho vya serikali umepungua.

Watu kama Lissu, Seif, Lema, Sugu, marehemu Mtikila si watu wa kutishia kuwakamata.

Kuliko kuendelea kuvimbiana serikali ingetumia busara zaidi kuliko nguvu ku handle issue kama hizi.
 
Sasa unadhani serikali haijui...mtu akishakua na serikali sio mwenzako, CCM ni Chama dola..
 
1.Jpm ana pambana na waliotokana na utawala wa Jk
2. LISSU ANAPAMBANA NA JPM
 
Sijui karogwa na nani mwanzo hata mi nilifikiria kumpa kura yangu 2020 ila sasa mmh, nishaghairi
Usighairi bado mapema mno hata mwaka hajamaliza.

Ila ukilinganisha imani ya wananchi kwa Magufuli na Kikwete kwa mwaka wa kwanza wa Utawala wao, ya Magufuli inaporomoka kwa kasi ya ajabu.
 
Hivi serikali inatumia kiasi gani kufukuzana na huyu jamaa???..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…