Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,159
- 72,199
Bravo Brother mpiganaji
Alaaa ndio Kiinglishi hiki eee?Mpo vizuri kweliLissu at his the best
Kama sisi tunavyomuona Lissu kituko.Dikteta anajiamini kupita kawaida, anadhani watanzania tunamuona malaika kumbe tunamuona kichekesho
hivi lisu ndo nani mbona mna mpa kiki bure , ndo maana hata media hazimpi umaarufu wowote KUTOA habari zake
Kitu gani kinakufanya udhani CCM na serikali hawana mikakati ya kumaliza mbinu zenu dhaifu.Tumeshuhudia siku za hivi karibuni polisi imekuwa ikihangaika na matamshi ya Mbunge wa Iramba Mashariki Mh. Tundu Lissu kuwa rais Magufuli ni "dikteta uchwara".
Hebu tujiulize nini hasa lengo la hili sakata kwa pande zote zinazovutana.
Haiwezekani mtu unakamatwa/shitakiwa kwa kosa fulani halafu unarudi kutenda kosa lilelile tena nje tu ya jengo la mahakama.
Binafsi naona ni kama kuna mtego fulani kwa chama tawala utakaohitimishwa September 1, chini ya Operation UKUTA.
Nafikiri nia hasa ya Chadema ni ama Lissu afungwe au awekwe ndani ipatikane sababu ya kufanikisha operation hiyo.
Lengo lingine nafikiri ni kukiweka chama kwenye headline kwa muda mrefu na kufifisha ziara za mtukufu rais zinazoendelea. Kumbuka kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Mh. Mbowe alisema wanauwezo wa kufanya siasa ndani na nje ya bunge.
Lengo lingine "nafikiri" ni mkakati wa kumuandaa mtu atakayeaminiwa na kuonewa huruma na jamii (Mandela style) ili labda baadaye aje kugombea cheo kikubwa ndani au nje ya chama.
Lengo lingine nafikiri ni kuionyesha dunia na watanzania kwa ujumla kuwa serikali ya Magufuli ni ya kidikteta inayovunja katiba yake ili kuthibitisha maneno ambayo yamekuwa yakisemwa na chama hicho.
Serikali ijue Chadema ni chama kikubwa kina uzoefu mkubwa kina wanasiasa wazoefu na wakongwe, hivyo kina mikakati yake na mbinu mbalimbali za kujiimarisha. Hivyo, serikali isilichukulie sakata la Lissu kama jambo dogo, should handle this issue with care.
Kumbuka moto huanza na cheche moja baadaye husambaa na kuunguza msitu mzima.
Haya ni mawazo yangu binafsi.
Magufuli alianza vizuri ila kadri siku zinavyokwenda anarudi kwenye square one.Jambo kubwa linalohitajika hapa ni ''Busara''. Kuhimili mikiki mikiki ya kukosolewa na kukosoana, hata kama Serikali inaendeshwa na malaika lazima iwe na ngozi ngumu kuhimili kukosolewa.
Hizo Presidential decrees hazitakiwi kuvunja katiba aliyoapa kuilinda.Kuna kitu kinaitwa Presidential Decree.
Ushindi kwa mwenye mkakati bora na rekodi zetu zinaonesha CHADEMA na UKAWA hawajawahi kushinda.Kama kila upande utakuwa na mikakati ya kumaliza upande mwingine unatabiri nini kitatokea.
Mi mwenyewe nimesikitika kwa nini mleta Uzi kawashitua hawa ??angewaacha waendelee kucheza huu mziki wa lissu..Shssshhhh usiwashtue!
Tumeshuhudia siku za hivi karibuni polisi imekuwa ikihangaika na matamshi ya Mbunge wa Iramba Mashariki Mh. Tundu Lissu kuwa rais Magufuli ni "dikteta uchwara".
Hebu tujiulize nini hasa lengo la hili sakata kwa pande zote zinazovutana.
Haiwezekani mtu unakamatwa/shitakiwa kwa kosa fulani halafu unarudi kutenda kosa lilelile tena nje tu ya jengo la mahakama.
Binafsi naona ni kama kuna mtego fulani kwa chama tawala utakaohitimishwa September 1, chini ya Operation UKUTA.
Nafikiri nia hasa ya Chadema ni ama Lissu afungwe au awekwe ndani ipatikane sababu ya kufanikisha operation hiyo.
Lengo lingine nafikiri ni kukiweka chama kwenye headline kwa muda mrefu na kufifisha ziara za mtukufu rais zinazoendelea. Kumbuka kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Mh. Mbowe alisema wanauwezo wa kufanya siasa ndani na nje ya bunge.
Lengo lingine "nafikiri" ni mkakati wa kumuandaa mtu atakayeaminiwa na kuonewa huruma na jamii (Mandela style) ili labda baadaye aje kugombea cheo kikubwa ndani au nje ya chama.
Lengo lingine nafikiri ni kuionyesha dunia na watanzania kwa ujumla kuwa serikali ya Magufuli ni ya kidikteta inayovunja katiba yake ili kuthibitisha maneno ambayo yamekuwa yakisemwa na chama hicho.
Serikali ijue Chadema ni chama kikubwa kina uzoefu mkubwa kina wanasiasa wazoefu na wakongwe, hivyo kina mikakati yake na mbinu mbalimbali za kujiimarisha. Hivyo, serikali isilichukulie sakata la Lissu kama jambo dogo, should handle this issue with care.
Kumbuka moto huanza na cheche moja baadaye husambaa na kuunguza msitu mzima.
Haya ni mawazo yangu binafsi.
Wewe ushindi unaupima kwa kigezo gani kuingia ikulu?Ushindi kwa mwenye mkakati bora na rekodi zetu zinaonesha CHADEMA na UKAWA hawajawahi kushinda.
Iramba mashariki? Duuuu Kaka unajua ukikimbia sana unaweza kupitiliza mpaka kwenu aisee.Tumeshuhudia siku za hivi karibuni polisi imekuwa ikihangaika na matamshi ya Mbunge wa Iramba Mashariki Mh. Tundu Lissu kuwa rais Magufuli ni "dikteta uchwara".
Hebu tujiulize nini hasa lengo la hili sakata kwa pande zote zinazovutana.
Haiwezekani mtu unakamatwa/shitakiwa kwa kosa fulani halafu unarudi kutenda kosa lilelile tena nje tu ya jengo la mahakama.
Binafsi naona ni kama kuna mtego fulani kwa chama tawala utakaohitimishwa September 1, chini ya Operation UKUTA.
Nafikiri nia hasa ya Chadema ni ama Lissu afungwe au awekwe ndani ipatikane sababu ya kufanikisha operation hiyo.
Lengo lingine nafikiri ni kukiweka chama kwenye headline kwa muda mrefu na kufifisha ziara za mtukufu rais zinazoendelea. Kumbuka kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Mh. Mbowe alisema wanauwezo wa kufanya siasa ndani na nje ya bunge.
Lengo lingine "nafikiri" ni mkakati wa kumuandaa mtu atakayeaminiwa na kuonewa huruma na jamii (Mandela style) ili labda baadaye aje kugombea cheo kikubwa ndani au nje ya chama.
Lengo lingine nafikiri ni kuionyesha dunia na watanzania kwa ujumla kuwa serikali ya Magufuli ni ya kidikteta inayovunja katiba yake ili kuthibitisha maneno ambayo yamekuwa yakisemwa na chama hicho.
Serikali ijue Chadema ni chama kikubwa kina uzoefu mkubwa kina wanasiasa wazoefu na wakongwe, hivyo kina mikakati yake na mbinu mbalimbali za kujiimarisha. Hivyo, serikali isilichukulie sakata la Lissu kama jambo dogo, should handle this issue with care.
Kumbuka moto huanza na cheche moja baadaye husambaa na kuunguza msitu mzima.
Haya ni mawazo yangu binafsi.
Wewe jifunze kusoma na kuelewa dhima ya hoja ndani ya sentensi au aya. Ni wapi ametajwa Magufuli katika hiyo aya? Acha kuvuruga hoja za watu na kuleta uchonganishi wa kitoto. Jibu hoja na kama huna isome na kuipisha. Siyo kupretend kila hoja una cha kuongezea au kuipinga.Fafanua ni damu gani zinazomwaga kila mwaka chini ya utawala wa Magufuli.
Sijui karogwa na nani mwanzo hata mi nilifikiria kumpa kura yangu 2020 ila sasa mmh, nishaghairiMagufuli alianza vizuri ila kadri siku zinavyokwenda anarudi kwenye square one.