Sakata la Gwajima: Serikali inapoamua kukumaliza

Wanasheria watusaidie katika hili ni halali kwa polisi kudai nyaraka zote hizo kwa kosa analoshitakiwa nalo, maana tunaambiwa ni mwananchi mmoja ndo amemshitaki Gwajima kwa kuwa kakerwa na maneno aliyotumia dhidi ya Askofu Pengo.
Kama unasafirisha mzigo haramu kwa gari; make sure gari yako haina tatizo lolote; kuanzia la kiufundi hadi kiutawala kv insurance n.k! Unapokuwa kwenye usukani, make sure unakuwa dereva mtiifu kuliko madereva wote duniani... yote hayo, unayafanya kukwepa kukutana na mkono wa dola kwa sababu yoyote ile! Kosa la kumpiga pasi tu mwenzako, litapelekea kukaguliwa kwa leseni yako! Kukaguliwa kwa leseni yako tu kutasababisha kupitiwa kwa nyaraka zako zingine na kuwafanya wengine watake kuchungulia hadi ndani kuna nini! Kitakachoonekana ndani ya gari ndich kitakachowafanya wao wapate hamu ya kwenda kukupekua nyumbani kwako... hebu ona sasa... kosa ni la kumpiga pasi dereva mshenzi na mtukutu wa bajaji lakini kosa hilo hilo limesababisha kwenda kupekuliwa nyumbani kwako! Itoshe tu kuseama kwamba, one event generate another... na kama alivyosema mshana jr, haya mambo sometime watu wanakuwa wanakulia mingle uingie kwenye 18 zao! Ni kama mwanaume aliyepata taarifa za mkewe kumegwa... si kwamba hawezi kwenda kumteka mbaya wake na kumfanyia kitu mbaya, la hasha; bali atakausha kama hafahamu lolote kumbe ankulia mingle uingie kwenye 18 zake!

But all in all, probably even much better than above all, huwezi kumwambia polisi "hey, kosa langu nimekojoa barabarani, how come unataka ukanipekue nyumbani...!" "Geshi" limeona umuhimu huo... inawezekana una ugonjwa wa akili kwahiyo inabidi wakakupekue wapate ushahidi wa vyeti au angalau dawa za magonjwa ya akili ili wakipata ushahidi, wakurudishe Mirembe usije ukahatarisha usalama wa raia, otherwise kwanini mtu mzima akojoe barabarani!!!!

Polisi hakosi genuine cause! Na asikudanganye mtu kwamba eti polisi wanapenda kubambikia watu makosa! Polisi anakubambikia kosa ukiingia kwenye 18 zake... na wakiamua "kubambikia" watu makosa, wote sisi tutalala central tena kwa makosa tuliyofanya kabisa!!!
 
Kama unasafirisha mzigo haramu kwa gari; make sure gari yako haina tatizo lolote; kuanzia la kiufundi hadi kiutawala kv insurance n.k! Unapokuwa kwenye usukani, make sure unakuwa dereva mtiifu kuliko madereva wote duniani... yote hayo, unayafanya kukwepa kukutana na mkono wa dola kwa sababu yoyote ile! Kosa la kumpiga pasi tu mwenzako, litapelekea kukaguliwa kwa leseni yako! Kukaguliwa kwa leseni yako tu kutasababisha kupitiwa kwa nyaraka zako zingine na kuwafanya wengine watake kuchungulia hadi ndani kuna nini! Kitakachoonekana ndani ya gari ndich kitakachowafanya wao wapate hamu ya kwenda kukupekua nyumbani kwako... hebu ona sasa... kosa ni la kumpiga pasi dereva mshenzi na mtukutu wa bajaji lakini kosa hilo hilo limesababisha kwenda kupekuliwa nyumbani kwako! Itoshe tu kuseama kwamba, one event generate another... na kama alivyosema mshana jr, haya mambo sometime watu wanakuwa wanakulia mingle uingie kwenye 18 zao! Ni kama mwanaume aliyepata taarifa za mkewe kumegwa... si kwamba hawezi kwenda kumteka mbaya wake na kumfanyia kitu mbaya, la hasha; bali atakausha kama hafahamu lolote kumbe ankulia mingle uingie kwenye 18 zake!

But all in all, probably even much better than above all, huwezi kumwambia polisi "hey, kosa langu nimekojoa barabarani, how come unataka ukanipekue nyumbani...!" "Geshi" limeona umuhimu huo... inawezekana una ugonjwa wa akili kwahiyo inabidi wakakupekue wapate ushahidi wa vyeti au angalau dawa za magonjwa ya akili ili wakipata ushahidi, wakurudishe Mirembe usije ukahatarisha usalama wa raia, otherwise kwanini mtu mzima akojoe barabarani!!!!

Polisi hakosi genuine cause! Na asikudanganye mtu kwamba eti polisi wanapenda kubambikia watu makosa! Polisi anakubambikia kosa ukiingia kwenye 18 zake... na wakiamua "kubambikia" watu makosa, wote sisi tutalala central tena kwa makosa tuliyofanya kabisa!!!
NasDaz asante kwa uchambuzi mzuri hii inaitwa thinking beyond...!
 
Last edited by a moderator:
Sijawahi kuona hata siku moja the ministry of Jesus ikawa overshadowed na watawala wa dunia, this is a spiritual war na huwa in that war hata siku moja the darkness side has never ever won the war. Hii vita satan alishindwa since time in memorial.

UFUFUO NA UZIMA (maana yake ni Yesu) alimwambia yule mwanamke, "mimi ndio huo UFUFUO NA UZIMA" John 11:25. Halafu watu wengi hawajui, lile sio kanisa la UFUFUO NA UZIMA, lina jina lake la usajili ambalo Dr. Gwajima atakapowapelekea hati polisi watajua kuwa they were totally wrong kudhani kuwa lile kanisa linaitwa hivyo.

Huyo aliye nyuma ya hili (wengi wanadhani ni polisi au watawala) aliishashindwa more than 2000 years ago. Yeye huwa hapendi mambo yake ya sirini ya kuwatesa wanadamu yawe exposed tena kwenye kadamnasi kama pale Kawe; na Dr. Pastor Gwajima ni mmoja wa mapastors duniani ambao wameifanya kazi ya kuziexpose kazi zake kwa mafanikio makubwa.

Kuwa na watu over 70,000 wenye kada mbalimbali, maprofessor, PhD holders, wafanyabiashara, hapo tukiacha kuzungumzia wanafunzi wake JAPAN, UK, KENYA, nk (mfano ukigoogle Gwajima Japan utagundua mpaka mtoto mdogo anamjua) kunatokana na uwezo mkubwa wa kuexpose the works of the Devil na utawala wake angani, duniani na baharini na jinsi anavyofanya kazi. Ameweza kuexpose jinsi watawala wanavyopata madaraka yao kutokea chini ya nchi aliko Lucifer, ameweza kuexpose uzao (DNA) ya kishetani katikati wa wanadamu na the plans for NEW WORLD ORDER.

To me when i attend his teachings its like i am in a PhD lecture class; his expository skills is second to none; huwa sipendi the normal traditional christian sermons where the bible becomes independent of other related facts like Archeology, Escatology, Apologetics, to mention only a few. Kama msomi huwa napenda exposition za Dr. Pastor Gwajima because they enrich me with vast knowledge in the Biblical and the world beyond the physical realm. Well done Dr. Gwajima, the devil and his hosts knows the extent of damage you have done to his Kingdom through the powerful teachings of Jesus Christ.
lets wait n see........yale madawa yale, madini feki....wizi wa wake za watu.........tutaona mengi
 
Ishu ya Gwajima ni kama ndio imeanza upya baada ya kutakiwa kuleta nyaraka kumi muhimu, zikiwemo returns za hesabu zake za kanisa, bodi ya wadhamini, hati ya usajili wa kanisa, namba ya utambulisho, jumla ya makanisa yake, mali anazimiliki nk

Kwa juu juu ni rahisi kuona hili ni jambo jepesi lakini kiuhalisia huu unaweza kuwa mwanzo wa mwisho wa enzi za gwajima. Kila nyaraka atakayoleta itachambuliwa kwa vigezo vyote na kwakweli nyingi ya nyaraka hizo (kama zitakuwepo) zitakuwa na mushkeli

Na mushkeli utakaotokea kwenye kila nyaraka utaangaliwa kwa jicho la kisheria na adhabu zake, hii ni msiba kwa yoyote yule ambaye anafanyiwa ukaguzi na serikali, yataibuka mengi mengi ambayo hayajulikani, kuanzia mamlaka ya mapato, vyeti na usajili, uhamiaji, taratibu za kuendesha kanisa nk nk

Pamoja na kashfa zake nyingi lakini hii ishu ni ya kisiasa zaidi, na hii inatokana kuweka wazi msimamo wake bila woga wa kuwaunga mkono watu wawili muhimu kwenye uchaguzi mkuu ujao Lowassa na Dr Slaa, hawa wawili hawa ni homa mbaya kwa ccm kwasasa, yeyote atakayefanikiwa kuchukua madaraka ni kiama kwa ccm, japo El yupo ccm

Gwajima anaponzwa na kujiamini kulikopitiliza na kuchanganya na siasa za makundi, hawatamuacha hadi wahakikishe wamemmaliza kabisa

Hivi polisi wamesoma kweli?toka lini hesabu za kanisa zikachunguzwa kwa sheria zipi?watu wanaopaswa kuhoji matumizi ya mapato ya kanisa ni waumini polisi ni waumini wa Gwajima?
 
Hivi polisi wamesoma kweli?toka lini hesabu za kanisa zikachunguzwa kwa sheria zipi?watu wanaopaswa kuhoji matumizi ya mapato ya kanisa ni waumini polisi ni waumini wa Gwajima?

Mahojiano yanafanyika polisi lakini kukiwa na wataalamu wa kila sekta husika na hizo docs zinapofikishwa polisi hupelekwa kila moja inakohusika kwa ajili ya kuthibitishwa uhalali wake. Hapa polisi inatumika tu kama mlinzi na mdhamana
 
Wewe muumini wa pengo nini?
RC huwa sio wafuasi wa mtu na ndio maana huwezi hata siku moja kusikia mkatoliki anamwambia mwenzake kwamba mimi naabudu kwa askofu au padri fulani. Hayo ya kusema 'naabudu kwa Gwajima' au 'naabudu kwa Mwingira' au naabudu kwa Kakobe' yapo huko huko kwa mnaosumbuliwa na serikali.

Polisi Tanzania wanahitaji maelezo kuhusu helikopta, usajili wa kanisa, taarifa za fedha, mpangilio wa uongozi nk. Nashangaa bado mnauliza habari za Pengo!
 
Hivi polisi wamesoma kweli?toka lini hesabu za kanisa zikachunguzwa kwa sheria zipi?watu wanaopaswa kuhoji matumizi ya mapato ya kanisa ni waumini polisi ni waumini wa Gwajima?
Narudia kwa mara nyingine... polisi hakosi genuine cause! Kule makanisani si wanachangishana sadaka kule? Watu wanaweza ku-force issue ya money laundering hapo hapo na kukawa na sababu tosha ya kuchunguza hesabu za kanisa!
 
Naamini Mungu hatamwangalia Gwajima amekosea wapi, lakini for th sake of Roho za watu anaowachunga Gwajima, Mungu atatenda jambo. Mungu anathamini sana Roho za watakatifu wake, na katikati ya watu 70 elfu hata akiwepo mmoja mkamilifu, God will show up.

Ni kweli, serikali ikishaamua kujimaliza icheze na watumishi wa Mungu
 
Kwa sababu ishu ni mpya.
Police waagize wachungaji wote wanaojitegemea Kama gwajima. Mfano lusekelo,rwakatale,geodevi, mwingira, etc walete hizi nyaraka. Na ikiwezekana taifa itunge sheria ya kumonitor hawa jamaa. Ikiwezekana walipe kodi.

Tunataka kesho lenye weredi Wa kusaidia taifa na sio LA kisiasa. Hii ni kuendeleza chuki, wivu na husuda.

unafikiri kwa kutumia ?makanisa na misikiti yote inapaswa kulipa kodi kutoka swadaka sindio maana yako
 
sisiemu inaelekea kufaaa.ukiwachokoa wanakuulimboka misitu ya mabwe pande gwajima alikosea kutia mchanga kttumbua cha sisiemu
 
Wwe unemwita mwenzio kafiri umetimia na kweli unamwabudu mungu wko acha kuingiza uislamu kwenye swala la gwajima ni vizuri mkaiachia ccm iamue na ijimalize yenyewe kuna siasa imeingizwa hapo kuweni makini na post zenu.
 
Hatuwezi kuwa ni nchi ya watu wote waoga. Watumishi wa Umma waoga; wanasiasa waoga; wananchi waoga! Viongozi wa dini waoga!!!! Haiwezekani.. Mungu hawezi kuruhusu. Lazima ainue kinywa chenye ukali kitakachoweza kusema!!! Itakuwa unafiki na uongo wa hali ya juu kusema Gwajima ana siasa za makundi!! That is a misconception!! Makonda alifikaje pale kanisani kwa Gwajima; Mwakyembe aliendaje? Dr Slaa?? Hili ni kundi moja???? Tatizo ni kwamba Gwajima ana kitu ambacho kwa Wanasiasa ni Mtaji!!! He has a lot of people. Hata mapolisi walikiri!!!
 
Kumbuka uwanja ni wa KIROHO.
Bastola Bazooka au Balistic Missile huko ROHONI hata kutajwa tu hazirajwi.

Kichekesho ni kwa huyo muhuni Gwajima yeye kaamua kujitwalia bastola....

Au unataka kuniambia ndo silaha za kiroho zikishindikana ndo unaamia za kimwili..?? Kwikwikwikwi
 
Kama unasafirisha mzigo haramu kwa gari; make sure gari yako haina tatizo lolote; kuanzia la kiufundi hadi kiutawala kv insurance n.k! Unapokuwa kwenye usukani, make sure unakuwa dereva mtiifu kuliko madereva wote duniani... yote hayo, unayafanya kukwepa kukutana na mkono wa dola kwa sababu yoyote ile! Kosa la kumpiga pasi tu mwenzako, litapelekea kukaguliwa kwa leseni yako! Kukaguliwa kwa leseni yako tu kutasababisha kupitiwa kwa nyaraka zako zingine na kuwafanya wengine watake kuchungulia hadi ndani kuna nini! Kitakachoonekana ndani ya gari ndich kitakachowafanya wao wapate hamu ya kwenda kukupekua nyumbani kwako... hebu ona sasa... kosa ni la kumpiga pasi dereva mshenzi na mtukutu wa bajaji lakini kosa hilo hilo limesababisha kwenda kupekuliwa nyumbani kwako! Itoshe tu kuseama kwamba, one event generate another... na kama alivyosema mshana jr, haya mambo sometime watu wanakuwa wanakulia mingle uingie kwenye 18 zao! Ni kama mwanaume aliyepata taarifa za mkewe kumegwa... si kwamba hawezi kwenda kumteka mbaya wake na kumfanyia kitu mbaya, la hasha; bali atakausha kama hafahamu lolote kumbe ankulia mingle uingie kwenye 18 zake!

But all in all, probably even much better than above all, huwezi kumwambia polisi "hey, kosa langu nimekojoa barabarani, how come unataka ukanipekue nyumbani...!" "Geshi" limeona umuhimu huo... inawezekana una ugonjwa wa akili kwahiyo inabidi wakakupekue wapate ushahidi wa vyeti au angalau dawa za magonjwa ya akili ili wakipata ushahidi, wakurudishe Mirembe usije ukahatarisha usalama wa raia, otherwise kwanini mtu mzima akojoe barabarani!!!!

Polisi hakosi genuine cause! Na asikudanganye mtu kwamba eti polisi wanapenda kubambikia watu makosa! Polisi anakubambikia kosa ukiingia kwenye 18 zake... na wakiamua "kubambikia" watu makosa, wote sisi tutalala central tena kwa makosa tuliyofanya kabisa!!!
Uchambuzi umetulia..
 
NasDaz asante kwa uchambuzi mzuri hii inaitwa thinking beyond...!

Kama unasafirisha mzigo haramu kwa gari; make sure gari yako haina tatizo lolote; kuanzia la kiufundi hadi kiutawala kv insurance n.k! Unapokuwa kwenye usukani, make sure unakuwa dereva mtiifu kuliko madereva wote duniani... yote hayo, unayafanya kukwepa kukutana na mkono wa dola kwa sababu yoyote ile! Kosa la kumpiga pasi tu mwenzako, litapelekea kukaguliwa kwa leseni yako! Kukaguliwa kwa leseni yako tu kutasababisha kupitiwa kwa nyaraka zako zingine na kuwafanya wengine watake kuchungulia hadi ndani kuna nini! Kitakachoonekana ndani ya gari ndich kitakachowafanya wao wapate hamu ya kwenda kukupekua nyumbani kwako... hebu ona sasa... kosa ni la kumpiga pasi dereva mshenzi na mtukutu wa bajaji lakini kosa hilo hilo limesababisha kwenda kupekuliwa nyumbani kwako! Itoshe tu kuseama kwamba, one event generate another... na kama alivyosema mshana jr, haya mambo sometime watu wanakuwa wanakulia mingle uingie kwenye 18 zao! Ni kama mwanaume aliyepata taarifa za mkewe kumegwa... si kwamba hawezi kwenda kumteka mbaya wake na kumfanyia kitu mbaya, la hasha; bali atakausha kama hafahamu lolote kumbe ankulia mingle uingie kwenye 18 zake!

But all in all, probably even much better than above all, huwezi kumwambia polisi "hey, kosa langu nimekojoa barabarani, how come unataka ukanipekue nyumbani...!" "Geshi" limeona umuhimu huo... inawezekana una ugonjwa wa akili kwahiyo inabidi wakakupekue wapate ushahidi wa vyeti au angalau dawa za magonjwa ya akili ili wakipata ushahidi, wakurudishe Mirembe usije ukahatarisha usalama wa raia, otherwise kwanini mtu mzima akojoe barabarani!!!!

Polisi hakosi genuine cause! Na asikudanganye mtu kwamba eti polisi wanapenda kubambikia watu makosa! Polisi anakubambikia kosa ukiingia kwenye 18 zake... na wakiamua "kubambikia" watu makosa, wote sisi tutalala central tena kwa makosa tuliyofanya kabisa!!!


Duh!

hayaja Mkuta siku ya kimkuta Atakuja hapa JF kulialia.
 
Back
Top Bottom