Mh.Lissu na TLS mahala pekee panapoweza kumfanya Bashite aseme ukweli kuhusu vyeti vyake na majina yake halisi ni mahakamani tu kwasababu huko akikwepa kujibu maswali ndio atakuwa amejimaliza /amejihukumu.
Kwahiyo nawashauri mfungue ile kesi mlioahidi kuifungua mapema maana ni wazi mtashinda hii kesi na huko mahakamani sioni kama atajibu maswali zaidi ya kuumbuka.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] kabisa kichwa chake kitakuwa na shida sio hivi hivi tu. Sijui kwa nini anajiamini kiasi hiki!Eti alipitia dirishani kuwakwepa tume NI KUTUMIA HEKIAMA (HEKIMA YA KIBASHITE) kwa sababu tume ile haikuwa halali kuchunguza suala la uvamizi
Na kwamba angewaona pale angewatia ndani tu kama wazururaji na hivyo alivyoruka ukuta ilimsaidia asiwaoneone.
Huyu jamaa, bila shaka kuna nati kadhaa hazijakaa sawa.
Kuna watu siku hizi humu Tanzanian Ukiwawazia sana unaehuka mapemaaBaadhi ya Maneno Aliyokaririwa akisema Paul Makonda katika mahojiano yake na Star TV Leo...
'Ruge Anapaswa awaombe msamaha Watanzania kwa kuwatapeli kuwa Nilivamia Kituo chake'
'Tukio linaloitwa uvamizi kwangu ni igizo la Uvamizi'
'Clouds nilikuwaga naeda kula ugali na Maharage'
'Gwajima anajiita Askofu lakini sio Askofu kamili'
'Nimeuona uongo wa Ruge hadharani, Nimeouna utapeli wa Ruge Hadharani'
'Ruge ana akili ya kutunga nyimbo za mapenzi na Ng'onjera sio maendeleo ya Dar as salaam'
Tulitarajia kama watanzania atatuomba radhi, tukaamua kuchungulia, ayaa kumbe anaoga tope kama bata maskini.Ha ha ha ha haaaaaa
Yaani bado nawacheka, kila siku mnabishaa ooh hivi mara vile nyie ndio fans wake namba moja
Ha ha haaaaaa, mmefurahisha kila mtu..eti hatumtaki kunsikia eti harutamsoma eti hivi... ha ha haaaaaa hata wengine kulinda ID zao wanadanganya hawajaangalia ila maneno wanayoandika yanawasuta...
Viongozi wote leo walikuwa mamcho na msikio kwa RC, na wa upinzani wadakyzi wa mambo kusema wanenda mahakamani ndio walikuwa namba moja
Nimefurahi kujua mliungana na wananchi wengine wengi kumwanagalia na kunsikiliza Mh. Makonda
Makonda oyeeeeeee
Chance given but not used.Ndugu hii nchi yakinafiki acha kabisa, wametizama tv na kuomba update waliokua mbali na tv hahaha dunia haishi maajabu.
HahahahahahHahaha.. Unapomchagua mtu kama huyu awe mkuu wa mkoa ni lazima na wewe nati zitakuwa zimefyatuka kichwani si bure... I can't imagine mkulu naye alikuwa anaangalia star TV na kusema duh jembe langu linatema cheche! Lol!
Eti unajiita Dr nan vile,hivi Kwa akili ya kawaida tu bado unajitoa ufahamu kumtetea huyu jamaa,watanzania bado tuna safari ndefu mpaka tufike kwakweliKwani vyombo vya habari, TLS, Askofu Gwajima na etc ndiyo wenye mamlaka ya kuhakiki vyeti vya watu? Sasa awapelekee vyeti vyake wao kama nani? Umeambiwa cheo cha RC kina rank sawa na Minister. Haingii akilini waziri au mkuu wa mkoa anachukua vyeti vyake anaenda navyo kuhakikiwa na chombo cha habari kinachomilikiwa na Kubenea, Mbowe na etc!! Wapi duniani ilikwisha tokea kitu cha namna hii.
Tuhuma nzito ya Makonda ilikuwa ni ya uvamizi wa kituo Clouds TV. Leo ameielezea vizuri sana. Ni dhahiri kabisa tuhuma hii ni ya kughushi kwa maslahi wanayoyajua wenyewe. Na kuna uwezekano wahusika kufikishwa kwenye vyombo vya sheria kwa kosa la dedefamation na kudhalilisha ofisi ya mkuu wa mkoa.
Hilo la kubadili jina toka D.A. Bashite na kuwa P.C. Makonda kwa kusudio la kutumia vyeti vya P.C. kujiendeleza kielimu nalo kalikanusha katu katu. Kwamba majina anayotumia ndiyo aliyopewa na wazazi wake. Hakukuwa na haja kuwaonyesha birth certificate kwani wao si mamlaka ya uhakiki. Ni dhahili kuwa hadithi hii ni ya kutungwa pia. Na watungaji ni baadhi ya waliotajwa kwenye orodha ya madawa. Si ajabu watu hawa wakafikishwa mahakamani muda si murefu kwa kosa la defamation na kudhalilisha ofisi ya mkuu wa mkoa. Tumesikia PCCB wanamalizia upelelezi wa kesi hii huko Tabora ambako kuna huyo name mate wa Makonda.
Mkondo wa sheria lazima utachukuwa mkondo wake dhidi ya watunzi hao wa hadithi za uongo ili iwe fundisho pia kwa wengine wenye tabia kama hizi.
Anajiita Dr akili kumbe ni kinyume chakeMadhani ungenyamaza kimya ingekuwa bora kwaniandiahi huo 100 wewe ni yule anaejiuta mbebezi
Kama kawaida yako upo,tulikuwa tunataka tusikilize upupu wake na kweli amedhihirisha kichwani hamna kituHa ha ha ha haaaaaa
Yaani bado nawacheka, kila siku mnabishaa ooh hivi mara vile nyie ndio fans wake namba moja
Ha ha haaaaaa, mmefurahisha kila mtu..eti hatumtaki kunsikia eti harutamsoma eti hivi... ha ha haaaaaa hata wengine kulinda ID zao wanadanganya hawajaangalia ila maneno wanayoandika yanawasuta...
Viongozi wote leo walikuwa mamcho na msikio kwa RC, na wa upinzani wadakyzi wa mambo kusema wanenda mahakamani ndio walikuwa namba moja
Nimefurahi kujua mliungana na wananchi wengine wengi kumwanagalia na kunsikiliza Mh. Makonda
Makonda oyeeeeeee
Mkuu unamwanzaje labda?,Mwenye mamlaka hayo ameshamwambia "baba fanya kazi usisikilize maneno ya watu"atlas copco: Kwa nini tusianze na vyeti vya Bashite kwanza? Mbona hata Mzee ameanza na vyeti vya watumishi wa umma kwanza na kuwaacha mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na madiwani?
Nadhani ana elimu ya sekondari tu na sijawahi kusikia kuwa alighushi vyeti vyake.Ata mimi nikiwa kama mwanachama wa chadema nataka kufahamu elimu ya mwenyekiti wangu Aikaeli. Kama ana elimu ya Sekondari au Elimu ya hapanapale.
Na kwakua ameshindwa kuweka elimuyake hadharani nataka niende mahakamani.
Jamaa nilijua atatumia Fursa ya leo vizuri ila wapi!
Ukiwaangalia vizuri hata wale waandishi walk disappointed sana!
Walichotegemea Na reaction wanayoiona tofauti
lakini nyie watu wanaomtuhumu wenyewe hawathibitisha madai yaoDuh! Angejua bora angekaa kimya tu; jamaa katia aibu. Waliomshauri kwa hakika wamemmaliza.
NHuyu ni RC wetu.Anawakilisha chama chetu cha CCM.Akizungumza lazima tufatilie.Nchi nyingine wakiafuatilia mijadala yetu wanaishia kutusikitikia tu. Tunatia huruma kwa kweli.
Kama kawaida yako upo,tulikuwa tunataka tusikilize upupu wake na kweli amedhihirisha kichwani hamna kitu
Sawa Mrs DAB hivi na ww upo kwenye kile kitengo cha kumsafisha jamaa?nasikia mmeungana na bongo movie kwenye hii inshu Ya kumsafisha mshikajiHa ha ha ha haaaaaaaaaaaa
Na bado hamuwezi bila kujua yake, hata mkijaribu kuandika upupwu mnajua ni hakna budi msimalizane humu wenyewe eeeeeh
Makonda oyeeeeeeeeeeee