Saikolojia: Ishara zinazoonesha wewe ni handsome/una mvuto wa kiume tofauti unavyodhani

u handsome ndo sifa ya mwisho kabsa mwanaume huambulia baada ya kukosa sifa za mwanaume. sifa halis ni akili na elimu, ujuz na maarifa, pesa na mali, hekma na busara, ujasiri na usimamizi, ubunifu na ujasiriamali. ukiona unawaza uzuri jua una dalili zote za ushoga kamuone dr kwa dawa ya kucontrol hormones haraka.
 
Unadhani biblia ilivyo onyesha Yusuf alikuwa na mvuto, kwa hiyo Yusuf ni shoga halafu elewa sio kila mwanaume mwenye mvuto wa kiume ni shoga au hana hizo sifa apo juu, basi angalia Yusuf aliekua na mvuto kama alikuwa ana sifa zako ulizozitaja. Kumbuka uhandsome hautegami sura nzuri pekee kama watu wengi wanavyodhani pia inategemea umbo la kiume, sauti.n.k. mvuto ni karama ya muumbaji kama ilivo hekima, busara, akili, mali n.k
 
umezunguka kote umeishia kwenye ushoga,we ulisikia wapi mwanaume anakua na mvuto,mada hizi peleka insta na fb kwa vilaza wenzio
Tatizo unamini mahandsome wote ni mashoga sijui hizo fikra zenu mnazitoa wapi.afu soma vizuri sijahamasisha ushoga nimetoa fact za kisaikolojia.maana unaonekana mwenye wivi.mvuto ni karama ya muumba kama ilivyo kuwa kwa yusuf katika bible na sio ulimbwende kama wewe unavyodhani
 
Umekufa akili (intelligence)unatembelea ubongo tu (brain)
 
Ambao hatuna sifa yeyote kati hizo mnatushaurije?
 
Nina mdogo wangu anasumbuliwa vibaya mno na shoga flan halafu huyo shoga yupo ofisi moja na mjomba wetu hapa tunamtiatia mikwara asipoelewa tutafikisha taarifa kwa ankor ushahidi wote tunao
 
Mwanamume kuanza kufikiria huu upuuzi wa mvuto na kuvutia ndio mwanzo wa kuanza kupaka vipodozi vya kina, kushinda kwenye vioo, kufanya mikogo "mapozi" ya kianamke na mwisho ni kuliwa Tigo.
sasa huo ni ushoga sio usmati.afu tofatisha mwanaume mtanashati na mwanaume mwenye pigo za kike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…