sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,679
- 9,839
Anaswali na visungura amuachie nani?Depression ipi hapo?
Saigon amekuwa ana swali sana ni miaka sasa... ameamua kubadilika...
Anaswali na visungura amuachie nani?Depression ipi hapo?
Saigon amekuwa ana swali sana ni miaka sasa... ameamua kubadilika...
Huyo tokea apigwe bomba kutoka UK mambo yalibadilika,kipindi mutie mengi alimsupport sanaSababu ni nini
Bangi na kaka yake naye kapinda kama yeyeSio poa Brother Saigon. Hayuko sawa Mwamba. Ni kama yuko katika dunia mbili na haelewi dunia ipi anataka kuishi. Inauma sana hii.
"Apigwe bomba"...! Fafanua kidogo mzee wa Kino.Huyo tokea apigwe bomba kutoka UK mambo yalibadilika,kipindi mutie mengi alimsupport sana
Kipindi hicho anasoma tambaza alikuwa smart sana mbona
Tatizo unyamwezi mwingi,na sahv dini kama imemuingia sana huyo saleh....
Ova
Alipigwa risasi?Huyo tokea apigwe bomba kutoka UK mambo yalibadilika,kipindi mutie mengi alimsupport sana
Kipindi hicho anasoma tambaza alikuwa smart sana mbona
Tatizo unyamwezi mwingi,na sahv dini kama imemuingia sana huyo saleh....
Ova
Sioni depression yoyote bali aliamua kuachana na mambo ya muziki na kujikita katika imani yake.
Alirudishwaga"Apigwe bomba"...! Fafanua kidogo mzee wa Kino.
Huoni kama anaweukaSioni depression yoyote bali aliamua kuachana na mambo ya muziki na kujikita katika imani yake.
Honestly, kuna watu pombe haziwapendi. Wanakua kama vichaa.Not true mwaka 2022 nilikutana Naye sinza akiwa amelewa chakali na it was like pombe zilikuwa zinamtia uchizi,akaniomba sh 200 nikampa
Mchizi wake Ahmed Dolla, nyundo kadhaa sasa yuko mbele.Huyo tokea apigwe bomba kutoka UK mambo yalibadilika,kipindi mutie mengi alimsupport sana
Kipindi hicho anasoma tambaza alikuwa smart sana mbona
Tatizo unyamwezi mwingi,na sahv dini kama imemuingia sana huyo saleh....
Ova
Inabidi akae mbali sana na Pombe. Dunia ya ibada yumo, na dunia ya pombe anaitaka.Huoni kama anaweuka
Ova
Bora visingura sio UNGA na USHOGA uliojaa hapo wasafi wa nguoAnaswali na visungura amuachie nani?
Wasaf kumejaa mashog kibaoBora visingura sio UNGA na USHOGA uliojaa hapo wasafi wa nguo
By the way No Reforms No Elections
ila jamaa namkubali flow zake. ukimsikiliza kule tiktok utaona leo kapost anamshukuru allah kamtoa selo. je, kosa lake lilikuwa nini?Si ndo hii hapo ame attach
Jamaa dishi huwa lina mushkeliSio poa Brother Saigon. Hayuko sawa Mwamba. Ni kama yuko katika dunia mbili na haelewi dunia ipi anataka kuishi. Inauma sana hii.
GanjaWakazi wengi wa Dar es salaam wamechanganyikiwa kama huyu mwamba. Siku moja mitaa ya kati nilikutana na rafiki yangu wa zamani Kassim, na yeye alivaa kanzu na kilemba kama huyu. Alisema anatoka msikitini, akanihubiria mambo ya kumrudia Mungu vizuri tu, tulivyotoka hapo tukajiunga na marafiki wengine kule Samaki Samaki, Oysterbay, tukapiga konyagi mpaka asubuhi. Kila nikimkumbuka ustaadh wangu nacheka