Ponjoro wa Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2024
- 2,882
- 7,916
Huyu mjukuu wa mzee Mlapanya anayependa kujiita Jemedari Said ambaye hataki kabisa kujitambulisha kwa jina la ukoo wake (ukoo wa mzee Mlapanya) aliongoza fitina dhidi ya Mayelle na sasa maji yamejitenga na mafuta.
Pole sana, roho imekuuma sana ila ndiyo hivyo tena.
Pole sana, roho imekuuma sana ila ndiyo hivyo tena.