Dereva wa basi la Sai Baba amefariki dunia papo hapo na abiria 17 wamejeruhiwa baada ya basi hilo kupinduka katika eneo la Mwambegere wilayani Chunya mkoani Mbeya.
Basi hilo lilikuwa linatoka Dar es Salaam
RADIO1 STEREO
Hayo magari nasikia yanaua Dereva na kondo basi, R.I.P Dereva.!
saibaba kwa kutoa kafara madereva na makonda ajali nyingi wanaokufa za basi la saibaba ni dereva na konda
sio Chunya ni wilayani Rungwe eneo la mwambegere Katumba lilikuwa linaelekea kyela
Dereva wa basi la Sai Baba amefariki dunia papo hapo na abiria 17 wamejeruhiwa baada ya basi hilo kupinduka katika eneo la Mwambegere wilayani Chunya mkoani Mbeya.
Basi hilo lilikuwa linatoka Dar es Salaam
RADIO1 STEREO