Sai Baba laua na kujeruhi

Sai Baba laua na kujeruhi

Mimi nadhani kuna haja ya kuwa na sheria ya kuwapima akili madreva kila baada ya muda, haiwezekani waendelee kuuwa abiria kutokana na speed kila kukicha.Hawaogopi?
 
Dereva wa basi la Sai Baba amefariki dunia papo hapo na abiria 17 wamejeruhiwa baada ya basi hilo kupinduka katika eneo la Mwambegere wilayani Chunya mkoani Mbeya.

Basi hilo lilikuwa linatoka Dar es Salaam

RADIO1 STEREO

Nitakuwa napandaga SAIBABA TU kwa maana wao siku zote anakufa dereva tu magari yao yapatapo ajali.Ulale kwa amani driver.
 
Hatari sana hii...

Watu8 ulinijibu kuhusu Lwakatale, baadaye uzu ukawa withdrawn! I would like to know you anyway, ingawa humu anonymity ndio mwendo. Nilikujibu sijui kama uliona response yangu kabla ya kuufuta uzi.
 
Na hilo Basi limepita leo hapa Makambako. Sio kawaida kwa haya magari kuwa ya kwanza kupita Makambako hadi nilishangaa. Its likely kuwa sababu ni Mwendo Kasi. Halafu sasa hizo Gari zote kagundisha Vitambaa vyeusi nyuma ya Basi. R.I.P Dereva.
 
Kweli wewe ni Msanii kama ulivojiita , Mwambegele ipo wilayani Chunya Kweli.Haya bwana tunashkuru wana Mwambegele.
 
Dereva wa basi la Sai Baba amefariki dunia papo hapo na abiria 17 wamejeruhiwa baada ya basi hilo kupinduka katika eneo la Mwambegere wilayani Chunya mkoani Mbeya.

Basi hilo lilikuwa linatoka Dar es Salaam

RADIO1 STEREO

Hiyo red ni wilaya ya Rungwe kilometa kadhaa kabla ya kufika Tukuyu.
 
Chunya? Kutoka dar? Au chimala??????ila kuna vitambaa vyeusi vinaning'inia katika haya mabasi ya sai baba vinafungwa kwa nyuma au mbele, kama ukichunguza vizuri utaviona,yale ni majini na hupewa damu ktk kila kipindi fulani,
hii ni kweli kabisa angalia mabasi yote ya saibaba kwa nyuma juu kabisa (kulia) utaona kidude cheusi kinaninginia.

hiv mmiliki ni mswahili au ndo wale jamaa wa uban?
 
Jamani hawa madereva wa mabasi ya mikoani wanahitaji kuombewa kwani sidhani kama ni wazima kiakili.Najua ni vigumu kunielewa kama hauishi kati ya Ubungo na Kibamba na pia kama hauna gari dogo.Hawa madereva ukiwa na kigari chako kidogo kwao ni sawa na karatasi barabarani yaani utadhani wameambiwa barabara ni kwa ajili ya mabasi tu,RIP dereva.
Siyo kwenye barabara hiyo tu, tuulize sisi tunaotumia Barabara ya Mandela muda wa saa 12 asubuhi!!! Madereva wa mabasi yanayokwenda Kusini wanaendesha rough na wanapiga honi kwa fujo utadhani wenye magari madogo hawatakiwi barabarani muda huo!!
 
aliendesha kasi abiria wakapiga kelele akawakomoa akaenda mwendo wa konokono abiria tena wakamwambia dereva ongeza mwendo dereva akataka kupaa pale airport akafa mwenyewe
 
bora aue hao watu wake konda na dereva kuliko abiria. Juzi tu saibaba ya songea imeacha njia huko iringa.
 
Chunya? Kutoka dar? Au chimala??????ila kuna vitambaa vyeusi vinaning'inia katika haya mabasi ya sai baba vinafungwa kwa nyuma au mbele, kama ukichunguza vizuri utaviona,yale ni majini na hupewa damu ktk kila kipindi fulani,

Niliwahi kushuhudia pale ubungo kabla ya kupakia kuna mhindi anaingia ndani na kuchoma vijiti viwili vilivyopachikwa mbele upande wa kulia na kushoto then vinaungua na kutoa moshi hadi mda wa abiria kupanda vinakuwa vimeisha
 
Watu8 ulinijibu kuhusu Lwakatale, baadaye uzu ukawa withdrawn! I would like to know you anyway, ingawa humu anonymity ndio mwendo. Nilikujibu sijui kama uliona response yangu kabla ya kuufuta uzi.

Usijali mkuu kama ulifutwa ingawaje kwa bahati mbaya sikuyapata majibu yako nadhani nilikuwa offline wakati ukijibu.

watu8 prefers to preserve his anonymity mkuu though we once met kipindi kile tumewatembelea...
 
Back
Top Bottom