Sahihi kwa Askari kukagua Gari likiwa gereji?

Mkuu acha kutukana polisi bila Sababu ya msingi, deni hilo unalipa Kwa control number askari hachukui Hata Kumi hapo.

Nani kasema hachukui hata cent ? Wana % yao kwa kila faini, na ninafikiri ni Elfu tano.
 
Hahahaha, anakagua nini akati liko gerejei, na likiwa huko maana yake ni bovu, , Aisee polisi njaa zitawamaliza.

Ila kitu nimekuja ona Maaskari wa Usalama road ni Matajiri sana.
Umesoma ukaelewa amesema wanakagua nini? Rudia.
 
Nani kasema hachukui hata cent ? Wana % yao kwa kila faini, na ninafikiri ni Elfu tano.
Nakubaliana na wewe, maana kuna siku, Askari aitwae Emmanuel huko Mtwara, ni kweli alinikamata na kosa la abiria wangu kuto funga mkanda, nikamuomba anisemehe kwakua alijisahau tu eneo kutoka tuliposimama muda mfupi kupata mahitaji.
Na bahati mzuri barabara ya vumbi, yenye mashimo umetembea kwa kasi Speed 20.
alichofanya aliomba leseni yangu, nikampa, na alionyesha kunikublia ombi langu, akaniruhusu kuendelea na safari.
Kesho yake ikanituma tu kuangalia kwenye Simu kama nadaiwa, kweli nikakuta nadaiwa, tena pale kwake nilipita saa nne asbuhi, ila inaonyesha kosa nimelifanya saa, kumi na moja jioni, wakati safari yangu saa nane tayari nilikua nimeshafika.
Nikajiuliza amefanya hivi kwa faida ya nani, kumbe kuna chochote wanachokipata, basi hata maneno ya Rais samia hayawezi fanya kazi.
 
Umesoma ukaelewa amesema wanakagua nini? Rudia.
Chochote wanachokagua,. ni bora wakafanya kazi hiyo gari likiwa barabarani, na siyo likiwa gereji ama limepaki, ndiyo maana wanaitwa askari wa usalama barabarani.
Gari yangu mbovu iko gereji wewe uniletee deni eti gari inadaiwa alafu nilipe, wenda gari halitarudi tena barabarani.
 
Chochote wanachokagua,. ni bora wakafanya kazi hiyo gari likiwa barabarani, na siyo likiwa gereji ama limepaki, ndiyo maana wanaitwa askari wa usalama barabarani.
Gari yangu mbovu iko gereji wewe uniletee deni eti gari inadaiwa alafu nilipe, wenda gari halitarudi tena barabarani.
Kama ya faini ni ya siku za nyuma wakati gari linatembea hata kama lingeungua lote bado unawajibika kulipa.
 
Nakubaliana na wewe, maana kuna siku, Askari aitwae Emmanuel huko Mtwara, ni kweli alinikamata na kosa la abiria wangu kuto funga mkanda, nikamuomba anisemehe kwakua alijisahau tu eneo kutoka tuliposimama muda mfupi kupata mahitaji.
Na bahati mzuri barabara ya vumbi, yenye mashimo umetembea kwa kasi Speed 20.
alichofanya aliomba leseni yangu, nikampa, na alionyesha kunikublia ombi langu, akaniruhusu kuendelea na safari.
Kesho yake ikanituma tu kuangalia kwenye Simu kama nadaiwa, kweli nikakuta nadaiwa, tena pale kwake nilipita saa nne asbuhi, ila inaonyesha kosa nimelifanya saa, kumi na moja jioni, wakati safari yangu saa nane tayari nilikua nimeshafika.
Nikajiuliza amefanya hivi kwa faida ya nani, kumbe kuna chochote wanachokipata, basi hata maneno ya Rais samia hayawezi fanya kazi.

Yes, Ndio maana ukimpoza kwa elfu tano wengi wao hukataa kwa sababu anajua akikuandikia hiyo elfu tano atapata kwenye fain atakayoandika, so atleast 10 , wacha tu Rushwa itawale maana nayo inatuokoa sana haswa road , huko kwingine wacha isiwepo
 
Chochote wanachokagua,. ni bora wakafanya kazi hiyo gari likiwa barabarani, na siyo likiwa gereji ama limepaki, ndiyo maana wanaitwa askari wa usalama barabarani.
Gari yangu mbovu iko gereji wewe uniletee deni eti gari inadaiwa alafu nilipe, wenda gari halitarudi tena barabarani.
Yes, Ndio maana ukimpoza kwa elfu tano wengi wao hukataa kwa sababu anajua akikuandikia hiyo elfu tano atapata kwenye fain atakayoandika, so atleast 10 , wacha tu Rushwa itawale maana nayo inatuokoa sana haswa road , huko kwingine wacha isiwepo
kwanza tukubaliane hiyo hela inaenda moja kwa moja serikalini hawana cha elfu tano
ukilipeleka Gari gareji hujakwepa lolote kwani wanaandika namba za Leseni ipo siku utakamatwa au siku ya renew utalikuta hilo deni TRA , kwa hiyo wanachukua namba ya gari, Namba ya simu yako ya mkononi, na namba ya leseni
sema akipewa mashine huenda kuna idadi ya makosa yenye kiwango fulani km 300,000 anatakiwa apeleke, Mama Samia Rais wetu keshakataza wasiwe wakusanya kodi ila watende watakiwalokufanya
 
Hawa jamaa Askari wa usalama barabarani sasa wamehamia Gereji kabisa wanakagua madeni ya magari imekuwa kero kwa mafundi ni kwa vile tu hawana pakusema, wakikuta linadaiwa wanakomaa na fundi muhusika anauelitengeneza.

Kwakweli nimewashuhudia Gereji mara nyingi sana na mafundi wamekuwa wakilalamika sana, sasa sielewi usahihi wa wao kufanya hili.

Hawa dawa kuwapiga spana ya kichwa wasirudi tena,


🇦🇷🇦🇷🇦🇷🔥🔥
 
Back
Top Bottom