Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 9,745
- 34,568
Sukari ni muhim katika mwili wa binadam ndo maana Kuna muda hata hospital mtu anapewa glucose.Soda,mafuta ya kula,sukari vinadhuru mwili,ni Haram!?
Niambie ni ipi faida ya sigara kwenye mwili wa binadam na lin ulienda hospital ukavutishwa hata fegi ili urudi kwenye hali yako baada ya kuonekana Kuna kiwango Cha fegi kimepungua mwilini
Alafu hata maji yanauwa ikiwa utayatumia matumizi yasiyo sahihi , Unaambiwa maji ni uhai lakin nenda kajirushe baharini uone Kama utaishi.
Katika uislam kila chenye madhara ni Haram na kila kilicho halali kinatakiwa kitumiwe kwa kiasi hata chakula ukila kwa pupa bila kiasi kiasi Cha kuuletea shida mwili wako(kuvimbiwa) unapata dhambi kwa mujibu wa mafundisho ya uislam