The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,138
Umesahau viwanda,huduma za jamii za world class kama taasisi za elimu na taasisi za kimataifa,shule nk nk ..Arusha ina Mahotel ya maana, ina majengo makubwa ya biashara, ina barabara nzuri, Arusha-Moshi/Nairobi, Arusha-Babati -Dodoma na Barabara ya By-Pass ni barabara bora kabisa kwa sasa hapa nchini. Na sijaona mji mwingine ambao barabara za mitaa zina lami kwa Arusha.
Kifupi Arusha iko level za Switzerland huko.