Kwa ile hali ya hewa ya Dodoma hata iwe na ghorofa kama za Dubai tayari imeshapoteza sifa za kulinganishwa na Arusha au Mwanza. Yaani mji utadhani chini ya Ardhi kuna watu wamewasha Moto, juu napo unakutana na Vumbi la ajabu, hata jua nalo sijui limeshukaPoint zote za juu ni kanjanja. Bora ungebaki na ile hali ya hewa na foreign community katika jiji ilo.
Ukweli kaskazini mmejaliwa hali ya hewa nzuri. Arusha wakae makini dom ikiendelea kuwezeshwa itamkuta hapo.
Jiji bora litabaki dar, mwanza