Safu ya Uongozi Mpya CHADEMA

Safu ya Uongozi Mpya CHADEMA

ZITO KABWE au????? hapo ndipo utakapoona kuna mabadiliko makubwa ya kuondoa masalia
Mwenyekiti..Freeman Mbowe
Makamu bara.Prof.Abdala Safari
Makamu zanzibar.Issa Mohamed
Katibu mkuu.Dr W.Slaa
Naibu katibu mkuu...........
 
hakika wajumbe wa mkutano mkuu mmepereka kilio kwa msajiri wa vyama na vibaraka walio kuwa wanasambaza poropaganda zidi ya chadema hushindi wa mbowe ni tetemeko linalo pasua myamba na milima sasa niwakati wa zito kusuka ama kunyoa hii ni hawamu ya tano ya chadema hawamu ya nne imemalizika zito hulishitaki hawamu ya nne? hizi nisalam tu mjomba nikipata nauli nitakuja mjini mjomba...
 
HONGERENI SN MAKAMANDA! Sasa ni kupiga kazi kwa kwenda front. Maccm yanawagonga na kurudi
 
Ukiwaangalia hao makamu wenyeviti kusema kweli ni watu ambao hawana umaarufu wowote ndani ya chama na kwenye jamii.

Wala hawana msaada wowote wa kuisaidia chadema hilo hata wanachadema wanalijua sema wameamua kuwatumia kwasababu wanajua jinsi watakavyokua wanawadhibiti.

Ukisikia chama kupoteza muelekeo ndo huko. Chadema na umaarufu wake na kilipokua kimefikia hakikustahili kuendeshwa na sampuli za watu kawa wale. Mnawaacha watu kama akina Baregu ambao wanakubarika na jamii inawafahamu sana mnaenda kumg'ang'ana na wao watu sijui mmewaokota wapi!!!

Lakini ili mwenyekiti aendelee kula na kujimilikisha chama lazma afanye hivyo kwa kuweka misukule kwan watu kama akina BAREGU huwezi kuwapelekesha kwenye maamuzi, lazma utaulizwa bila woga.

Kwa mwendo huo chadema naiona polepooooole inaanza kuchungulia kuzimu baada ya kifo.

Sasa wewe utabiri wako cdm inakufa mwaka gani? Maana utabiri wa Zombe Mkuu tumeuona cdm imeshajifia 2014?kwani utakufa kwa mara ya pili? Hahahahaaa!!!ukiwa na akili kama za fisi kaaazi kwelikweli....
 
MATOKEO RASMI

Uchaguzi mkuu umefanyika kwa amani kabisa na yafuatayo ndiyo matokeo rasmi:

Makamu Mwenyekiti zanzibar

Said Issa Mohamed 645
Hamad Mussa Yusuph 163

Makamu Mwenyekiti Bara

Professor Abdallah safari
Kura za Ndiyo 775
Kura za Hapana 34
Zilizoharibika 2

Mwenyekiti Taifa

Freeman Aikael Mbowe 789
Gambaranyera Mong'ateko 20
Zilizoharibika 2

Wale wale tu
 
hapo ni mwendo mdundo hadi miaka 5, ccm mtalijua jiji, tunakuka kuwa bananga sasa. goo uongozi mpya
 
how come ccm pamoja na kutumia maguvu yote wameshindwa kuzuia mbowe asiupate uenyekiti?
what next, wachukue hatua gani ya kumwengua?
 
MATOKEO RASMI

Professor Abdallah safari
Kura za Ndiyo 775
Kura za Hapana 34
Zilizoharibika 2

Mwenyekiti Taifa

Freeman Aikael Mbowe 789
Gambaranyera Mong'ateko 20
Zilizoharibika 2

Mkuu Kibanga Ampiga Mkoloni

Hapo kwenye RED and Bold.
Mie nikadhan kuwa hiyo ndio Maana ya "Kura zilizo haribika" kwa Ki Kwenu
 
Last edited by a moderator:
Nakubaliana na wewe Mkuu. Ni Mvinyo wa Zamani ndani ya Glass mpya

umechachuka vizuri huo ukipiga tort moja inatoxa kbx ciyo mambo ya mpy mpaka ubugie chupa lote..mbowe anatosha!
 
Back
Top Bottom