Safu ya Uongozi Mpya CHADEMA

Safu ya Uongozi Mpya CHADEMA

Kauli ya Mh Mbowe imenipa matuamain sana alipokua akto hutuba yake ya mwisho kama mwenyekiti wa chama anaye malza muda wake, CHADEMA n kama train akishuka mtu alimaanisha wasaliti wanapanda wengine alimaanisha wanachama wapya wengi zaidi ya wasaliti. Mbowe amesema tatizo la CHADEMA ni viongozi wanachama wapo wakutosha, sisi wenyewe tumeona usaliti mkubwa wa viongozi wa chama kwa kulubuniwa na watawala ili kupunguza nguvu ya upinzani. Makamanda na viongozi wapya wa chama tambueni mupo hapo kwa matakwa ya wananchi na sio kwajili ya matumbo yenu. Peoplesssssssssssssssss
 
Hakuna safu mpya ni wale wale

Balozi wa china angekanyaga mlimani city Leo mabalozi wenzake walienda kuiangalia serekali ya 2015

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Hata mimi ninekubaliana nae. Chama kwa baadhi ya maeneo kilikuwa hakifanyi vizuri.
 
Wakuu JF,

Najua wengi tuna furaha sana baada ya Makamanda wa ukweli wenye kutekeleza Mpango wa Mungu kumaliza Chaguzi katika ngazi zote.

Sasa bai, kwa kupitia uzi huu na tuweke safu nzima ya Uongozi wa Juu, kuanzia mwenye , m/mwenyekiti, katibu Mkuu etc etc.

Ikibidi na idadi ya kura walizopigiwa, including zile za ndio na hapana.

CHADEMA ni Mpango wa Mungu.

Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeezzzzzzzzz

Poweeeeeeeeer
 
Siasa za Tanzania kwa sasa zinahitaji wenye uwezo na nia ya kujitoa kushiriki na kuendesha harakati na vuguvugu la mabadiliko!
Wengi wanawaza tu kujinufaisha na si kulikomboa taifa hili pamoja na watu wake!
Nawapongeza Mhe. Mbowe na Dr. Slaa kuendelea kujitolea kuwa mstari wa mbele wa kudai haki na uhuru kamili!

Aluta Continua!
 
Congratulations chadema and ukawa for blessing moment muliyotupa! Tunawatakia mafanikio mema katika mapambano na haya magamba
 
Mwenyekiti..Freeman Mbowe
Makamu bara.Prof.Abdala Safari
Makamu zanzibar.Issa Mohamed
Katibu mkuu.Dr W.Slaa
Naibu katibu mkuu...........

Daaaaa! halafu bado Wadanganyika wanadanganyika na sentesi UPINZANI ! hehehe nitakuwa wa mwisho kuamini kunaRaia wanauchungu na Nchi hii zaidi ya Matumbo yao Binafsi aisee.....:nimekataa
 
mwenyekiti ni mh.freeman mbowe kura
789
makamu mwenyekiti ni prof.adballah
safari kura 775
makamu mwenyekiti
zanzibar
mh.Hamad yusuph kura 163
mh.said isa mohammed kura 645.
makamu mwenyekiti zanzibar ni Mh.said
issa mohamed
 
Mwl J K Nyerere alikaa madarakani kwa takribani miaka 23 na baada ya kujiridhisha na mtu wa kumuachia kiti kampa mzee ruksa tena chaguo lake. Mbowe miaka 10 tu majungu ili akiache chama katikati ya nchia kitekwe na maccm, hiyo demokrasia hatuitaki wacha Mbowe aongeze 5 ili iwe 15 tutampata mbadala wa Mbowe baadae tena kwa mipango mathubuti. Hivi ukiachia demokrasia ya kipuuzi chama kikaingia mikononi mwa mtu km zzk na maharamia wenzake si chama kitakufa ghafla!!!!. Mbowe piga kazi kaka. Happy birthday kaka F. A. Mbowe.
 
Mwenyekiti ni Mh.Freeman Aikael Mbowe
Makamu mwenyekiti bara ni Prof.Abdallah Safari
Mh.Said Isa Mohammed
Makamu mwenyekiti Zanzibar.Wana kelele za udini hapo mnalipi jipya?
 
mwl j k nyerere alikaa madarakani kwa takribani miaka 23 na baada ya kujiridhisha na mtu wa kumuachia kiti kampa mzee ruksa tena chaguo lake. Mbowe miaka 10 tu majungu ili akiache chama katikati ya nchia kitekwe na maccm, hiyo demokrasia hatuitaki wacha mbowe aongeze 5 ili iwe 15 tutampata mbadala wa mbowe baadae tena kwa mipango mathubuti. Hivi ukiachia demokrasia ya kipuuzi chama kikaingia mikononi mwa mtu km zzk na maharamia wenzake si chama kitakufa ghafla!!!!. Mbowe piga kazi kaka. Happy birthday kaka f. A. Mbowe.

hayo ndio maneno.
 
Wakuu JF,

Najua wengi tuna furaha sana baada ya Makamanda wa ukweli wenye kutekeleza Mpango wa Mungu kumaliza Chaguzi katika ngazi zote.

Sasa bai, kwa kupitia uzi huu na tuweke safu nzima ya Uongozi wa Juu, kuanzia mwenye , m/mwenyekiti, katibu Mkuu etc etc.

Ikibidi na idadi ya kura walizopigiwa, including zile za ndio na hapana.

CHADEMA ni Mpango wa Mungu.

Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeezzzzzzzzz

Ni nani alikwambia kuna safu mpya?
 
MATOKEO RASMI:

Uchaguzi mkuu umefanyika kwa amani kabisa na yafuatayo ndiyo matokeo rasmi:

Makamu Mwenyekiti zanzibar

Said Issa Mohamed 645
Hamad Mussa Yusuph 163

Makamu Mwenyekiti Bara

Professor Abdallah safari
Kura za Ndiyo 775
Kura za Hapana 34
Zilizoharibika 2

Mwenyekiti Taifa

Freeman Aikael Mbowe 789
Gambaranyera Mong'ateko 20
Zilizoharibika 2

Hongera chadema..... Pigeni kazi sasa.
 
Back
Top Bottom