Ndugu wadau.
Wakati chama hiki kinaanzishwa bado nilikuwa chule ya msingi lakini nilikipenda mpaka nikafanikiwa kukipigia kula mwaka 1995 kupitia kwa marehemu bibi yangu ambaye alikuwa mnazi wa ccm na alikuwa haoni. nilipokuwa kidato cha kwanza nikanunua na kadi ya NCCR-MAGEUZI. Kwa kweli safu ya chama hiki ilitisha hasa kipindi cha uchaguzi na kampeni zao. hasa kipindi cha uchaguzi wa jimbo la temeke baada ya mheshimiwa kihiyo kuwekwa kando na mahakama.
jukwaani alikuwa anaanza kupanda
shehe mtopea akifuatiwa na
ndimala tegambwage akifuatiwa na
chiku abwao wa iringa akifuatiwa na
Dr masumbuko lamwai akifuatiwa na
mabere nyaucho marando na akimalizia mzee mzima
mzee wanji hii agustino lyatonga mrema.
zile hotuba zao zilikuwa na bashasha na msisimko sana,. hetu tujoilize watu wote hapo juu wako wapi . upinzani wao umeishia wapi. yaani kumbe zile bashasha zote za jukwaani walikuwa wametumwa na ccm kufanya kazi. ndio maana baada ya mrema kuondoka NCCR nilichana kadi na sasa nipo neutral.
wazee mnaokumbuka makeke ya NCCR leteni data.
UPINDINZANI NI KIINI MACHO CHA CCM. KUWENI MACHO WADAU NA VYAMA VYA UPINZANI
Wakati chama hiki kinaanzishwa bado nilikuwa chule ya msingi lakini nilikipenda mpaka nikafanikiwa kukipigia kula mwaka 1995 kupitia kwa marehemu bibi yangu ambaye alikuwa mnazi wa ccm na alikuwa haoni. nilipokuwa kidato cha kwanza nikanunua na kadi ya NCCR-MAGEUZI. Kwa kweli safu ya chama hiki ilitisha hasa kipindi cha uchaguzi na kampeni zao. hasa kipindi cha uchaguzi wa jimbo la temeke baada ya mheshimiwa kihiyo kuwekwa kando na mahakama.
jukwaani alikuwa anaanza kupanda
shehe mtopea akifuatiwa na
ndimala tegambwage akifuatiwa na
chiku abwao wa iringa akifuatiwa na
Dr masumbuko lamwai akifuatiwa na
mabere nyaucho marando na akimalizia mzee mzima
mzee wanji hii agustino lyatonga mrema.
zile hotuba zao zilikuwa na bashasha na msisimko sana,. hetu tujoilize watu wote hapo juu wako wapi . upinzani wao umeishia wapi. yaani kumbe zile bashasha zote za jukwaani walikuwa wametumwa na ccm kufanya kazi. ndio maana baada ya mrema kuondoka NCCR nilichana kadi na sasa nipo neutral.
wazee mnaokumbuka makeke ya NCCR leteni data.
UPINDINZANI NI KIINI MACHO CHA CCM. KUWENI MACHO WADAU NA VYAMA VYA UPINZANI