Mbase1970
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 6,053
- 4,595
Akikujibu labda tusi ama atasema unapotosha mada. Hutapata jibuHayo mazao ya CCM mlioyapokea ukawa vipi yanaweza kuwa kondoo?
Akikujibu labda tusi ama atasema unapotosha mada. Hutapata jibuHayo mazao ya CCM mlioyapokea ukawa vipi yanaweza kuwa kondoo?
Kimsingi kufuatana na comments yupo sahihi. Kama huelewi hilo basi utakua kama wale watalii wa serengeti na maasai maraNa wewe unajiita GT?
Na wewe unajiita GT?Kimsingi kufuatana na comments yupo sahihi. Kama huelewi hilo basi utakua kama wale watalii wa serengeti na maasai mara
Huyo anacheza na hii serikali.
Utoto at work.Kumbe kiwanja cha Ccm!!
Sibora hata hao wana viwanja
Cdm hata Shamba unaloweza kulimia mchicha tu
Hawana
Kumbe kiwanja cha Ccm!!
Sibora hata hao wana viwanja
Cdm hata Shamba unaloweza kulimia mchicha tu
Hawana
Hilo kamuulize BabakoMajipu wenzio NYINYIEM hicho kiwanja walikipata kwa njia zipi hasa ambazo ni halali??
UmeigaUtoto at work.
Shikamoo mpwaa n kwelii kitimoto azaI churachatu hawezi kuzaa sungura hata siku moja.
yani tabu tupu mpwa.Shikamoo mpwaa n kwelii kitimoto azaI chura
Walionunua wameliwa,huwezi nunua mali ya chama chochote bila kupita kwa wadhaminiBaada ya UVCCM Taifa kukamilisha sakata la uuzwaji kinyemela kiwanja cha Iringa sasa imetupia macho yake Mkoa wa Mwanza wilaya ya Ilemela. Mwenyekiti UVCCM wilaya ya Ilemela ndg Kheri James atuhumiwa kuuza kiwanja no. 146 block A mali ya UVCCM kilichopo eneo la Pasiansi Mkoani Mwanza kwa kanisa la FPCT kwa thamani ya milioni sitini (Tshs. 60,000,000) mwaka jana. Uongozi wa UVCCM Taifa umemtaka kijana huyo aliyeanza ufisadi akiwa mdogo kurudisha mali UVCCM mara moja na hatua za kisheria na kinidhamu zitachukuliwa dhidi yake.
Mimi sijaona GT humu labda nitumie lughs ya Lissu kama wewe ni GT basi utakua toa neno dikteta weka GT halafu maliza sentensi ya Lissu. Ila nionavyo umejikita sana kwenye kundi la masai mara serengetiNa wewe unajiita GT?