siasa na mchicha wapi na wapi!Kumbe kiwanja cha Ccm!!
Sibora hata hao wana viwanja
Cdm hata Shamba unaloweza kulimia mchicha tu
Hawana
CDM imeingiaje hapa Motochini?Kumbe kiwanja cha Ccm!!
Sibora hata hao wana viwanja
Cdm hata Shamba unaloweza kulimia mchicha tu
Hawana
Haswaa na hiyo ndio sifa kuu ya mchichaHawa ndio wanaoandaliwa kuja kuwa viongozi?
CDM imeingiaje hapa Motochini?
Hivi ukiona thread inaitaja vibaya CCM huwa hamuwezi kabisa kutafakari hata kidogo jamani, hata kidogo?
Kufanya siasa na watu kama nyie maisha yanakuwa magumu mara dufu yaani.
Kamuulize Mungumtu wako Mbowesiasa na mchicha wapi na wapi!
Kwa Mteikwani pale makao makuu kwa nani
Na wewe unajiita GT?Hayo mazao ya CCM mlioyapokea ukawa vipi yanaweza kuwa kondoo?
Nafikiri mwaka 2020 tutapunguza mazuzu kwa kiasi kikubwaNyoka uzaa nyoka ccm ni Ile Ile nadhani watu wanaona sasa na wameelewa
Nachoomba mwendo uwe huu huu watu waisome Namba kisawasawa hi kasi isipungue wajue kuwa mabadiliko ni kuiondoa ccm madarakaniNafikiri mwaka 2020 tutapunguza mazuzu kwa kiasi kikubwa
Hilo ndiyo la kuliomba kwa watanzaniaNachoomba mwendo uwe huu huu watu waisome Namba kisawasawa hi kasi isipungue waijui kuwa mabadiliko ni kuiondoa ccm madarakani
hybrid ya lumumba farm!Hahaha labda Hybrid
kwa hiyo unatetea huo ufisadi uliofanyika?Kumbe kiwanja cha Ccm!!
Sibora hata hao wana viwanja
Cdm hata Shamba unaloweza kulimia mchicha tu
Hawana