Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Wadau JF.
Tunaitaji msaada kuokoa ndoa ya jamaa yangu.
Zimepita wiki tatu toka kisa hiki kitokee, jamaa yangu alipanga safari yake ya kibiashara kwenda Japan..
Wakati yupo nyumbani akijiandaa na safari huku wakiongea na mke wake.
Muda ulivyofika kuanza safari ya airport alikuwa anaondoka na Air Qatar mchana, akamuomba mke wake simu ili ampigie dereva wa tax aje kumchukuwa.
Simu yake ilikuwa imeishiwa pesa, wakati kachukuwa ile simu ya mke wake ili apige sms ikaingia, akaona ngoja haisome kwanza..
Maneno aliosoma yameandikwa hivi "Dear vp huyo bwegge kaishaondoka? Nimekumiss sana leo takuja kulala"..
Jamaa yangu alivyomaliza kusoma akampa ile simu mke wake akamwambia soma sms yako..
Jamaa akabeba begi lake na kuondoka kuelekea airport aliporudi kutoka safari hakumkuta mke wake nyumbani..
Alipompigia simu akamwambia yupo nyumbani kwa dada yake mume wake ndipo alipokimbilia baada ya kisa kile..
Ushauri wakuu jamaa yangu anaomba!
Tunaitaji msaada kuokoa ndoa ya jamaa yangu.
Zimepita wiki tatu toka kisa hiki kitokee, jamaa yangu alipanga safari yake ya kibiashara kwenda Japan..
Wakati yupo nyumbani akijiandaa na safari huku wakiongea na mke wake.
Muda ulivyofika kuanza safari ya airport alikuwa anaondoka na Air Qatar mchana, akamuomba mke wake simu ili ampigie dereva wa tax aje kumchukuwa.
Simu yake ilikuwa imeishiwa pesa, wakati kachukuwa ile simu ya mke wake ili apige sms ikaingia, akaona ngoja haisome kwanza..
Maneno aliosoma yameandikwa hivi "Dear vp huyo bwegge kaishaondoka? Nimekumiss sana leo takuja kulala"..
Jamaa yangu alivyomaliza kusoma akampa ile simu mke wake akamwambia soma sms yako..
Jamaa akabeba begi lake na kuondoka kuelekea airport aliporudi kutoka safari hakumkuta mke wake nyumbani..
Alipompigia simu akamwambia yupo nyumbani kwa dada yake mume wake ndipo alipokimbilia baada ya kisa kile..
Ushauri wakuu jamaa yangu anaomba!