Kwani mwanamke akikusaliti shauri lake nini?,.....hapa kila mtu ana lake_ila kwa wanaume wa aina yangu najua nikuachana na huyo mwanamke milele.
then kwa dunia ya sasa na kushauri usiishe na mwanamke yoyote coz i can see utaaacha wote
Kwani mwanamke akikusaliti shauri lake nini?,.....hapa kila mtu ana lake_ila kwa wanaume wa aina yangu najua nikuachana na huyo mwanamke milele.
ushauri wa nini apo sasaSasa mkuu, unashauri nini kifanyike?
Lizzy.
Mbona umetoa ushauri mzuri tu
Aandike upya formula ya mahusiano na mkewe. Watu wenyewe ndio sisi na hayo ndo matatizo yetu....tuna namna ya kuyakabili
eti nini_ni kama sijakupata vizuri,?...................then kwa dunia ya sasa na kushauri usiishe na mwanamke yoyote coz i can see utaaacha wote
Yap_tuko pamoja mkuu!Amtimulie mbali; hiyo ndoa ishakuwa ndoano, hakuna trust tena unless aache biashara aamue kumchunga mkewe otherwise siku zote akisafiri atakuwa anaimagine kidume kikingine kinasimamia ukucha!
mke huyo cheater hafai.fulusitopu
bibi.com_kwa ufupi ninaye,na kwasababu anajua nini napenda na nini ni haramu kwangu.....hadhubutu(labda kama anafanya sijamhisi).......na kama akija jaribu na nikathibitisha hilo_mmmmmh bahati hana...then kwa dunia ya sasa na kushauri usiishe na mwanamke yoyote coz i can see utaaacha wote
Kabla ya kutoa ushauri, naomba kuuliza huyu dada alikwenda lini kwa wifi yake? Amemueleza nini wifi yake?
Wanamuda gani pamoja? Ningeshauri akae kimya kama ***** vile mpaka pale dada atakapokuja kujieleza na amuulize ubwege wake ni upi na anataka nini kwake.
Mie kilichoniuma ni jamaa kuitwa *****, yaani inaonekana huyo mama sio mara ya kwanza anatumiwa meseji za namna kwa mume kuitwa ***** na anaridhika, hamthamini kabisa mume wake, kweli ningemuambia dada yangu amtimue na kwangu asikanyage, kucheat nimegundua, ningesamehe, lakini kucheat na anaye acheat kuniita ***** haivumiliki.