Kanali mwime
Member
- May 5, 2018
- 71
- 171
Haya banaWakuu as salaam aleikum nimejiunga JF ili nipate wadau wazoefu na hii safari yang ya SA adventure natumia njia ya barabala nitasafiri na taqwa hapo kesho nikitokea ubungo mpaka Lusaka, sijawai kufika elimu yang darasa LA Saba kiigereza najua pia siendi Kujiunga na watanzania walioshindikana huko Nina Pesa ya kujikim wakati natafta kazi sina mwenyeji nilizaliwa kupambana kila lakheri wakuu Mwenye kuniongezea ushauli nitashukuru
Safari njema
Sihitaji vitisho vya mambo nitakayo yakuta huko nipe ushauri WA Kawaida mkuusema unataka ushauri wa kuhusu nini mzee baba.
Wa njiani.. vikwazo... vya South ukishaingia au ushauri upi wahitaji yakhee!
hakuna vitisho mzee baba... umeamua kwenda mwenyewe kama mwanaume utakalo likuta uendako likabili kiume.Sihitaji vitisho vya mambo nitakayo yakuta huko nipe ushauri WA Kawaida mkuu
Nitabadili Pesa benk na si kwingineko pia kadi ya manjano ninayo mkuu, nipo full labda wanionee tuhakuna vitisho mzee baba... umeamua kwenda mwenyewe kama mwanaume utakalo likuta uendako likabili kiume.
usisahau kadi ya njano... hapo Nakonde wazambia wasumbufu saana.
lingine, hapo hapo Nakonde unaweza kupigwa pesa kwenye kubadilisha pesa kuwa makini usimwamini mtu.
poa.Nitabadili Pesa benk na si kwingineko pia kadi ya manjano ninayo mkuu, nipo full labda wanionee tu
SimjuiMkuuu
shibekijijini yeye alipigwa risasi eti
Unafikiria kufanya kazi gani ukifika huko ...!?Wakuu as salaam aleikum nimejiunga JF ili nipate wadau wazoefu na hii safari yang ya SA adventure natumia njia ya barabala nitasafiri na taqwa hapo kesho nikitokea ubungo mpaka Lusaka, sijawai kufika elimu yang darasa LA Saba kiigereza najua pia siendi Kujiunga na watanzania walioshindikana huko Nina Pesa ya kujikim wakati natafta kazi sina mwenyeji nilizaliwa kupambana kila lakheri wakuu Mwenye kuniongezea ushauli nitashukuru