haya bwana!🤣🤣Hamna chai,sema J ndivyo alivyo masihara mengi kwenye maisha...
yap! harufu inakuwa kali sana🤣🤣🤣🤣swadaktaa af ikianza kuungua ndo unaweka maji basi hiyo harufu yake duhh😂😂😂😂
Kwa hiyo kipengele cha kula nyau hukukiona?...pale nilipolala baada ya kula ugali nyama,nikaota niliposhtuka kuzunguka zunguka nyuma ya nyumba nikakuta ngozi na kichwa cha nyau mweusi.....sio chai true!!,mnataka kipengele kimoja tu kama bongo mvi.!....kichwa cha habari kinasema habari ilikuwa kuhusu mkuu kula nyama ya nyau kongo, badala yake imekuwa ya maelezo meengi yasiyoaminika!!!
...mhudumu, hebu niongeze chapati lingkne hapo nimalizie hii Chai!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu lichapati lingine ukilila na nyama ya nyau ni mautamu ya kufa beki kufa kipa!!....kichwa cha habari kinasema habari ilikuwa kuhusu mkuu kula nyama ya nyau kongo, badala yake imekuwa ya maelezo meengi yasiyoaminika!!!
...mhudumu, hebu niongeze chapati lingkne hapo nimalizie hii Chai!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Chai gani inaishi kwenye tenga mkuu...chai solid hakuna duniani na Haitatokea mpaka mwisho wa dunia.Wengine tumezoea chai ya tangawizi na maandazi ya kupambia... Sasa chai kavu kama hivi!
View attachment 1396968Nakusaidia
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
Tume kunywa sana mikate na fegi kwenye harakati huko nje ya nchi.Wengine tumezoea chai ya tangawizi na maandazi ya kupambia... Sasa chai kavu kama hivi!
View attachment 1396968Nakusaidia
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
Umetuletea chai bila vitafunwa, ndio maana nimekuletea vitafunwa hivyo kwenye tenga!Chai gani inaishi kwenye tenga mkuu...chai solid hakuna duniani na Haitatokea mpaka mwisho wa dunia.
Bugali sombe umekula!Tume kunywa sana mikate na fegi kwenye harakati huko nje ya nchi.
👏👏 sema nini,ni huwa natumia machapati kama Yale ya kwenye picha ya yesu kwa ukubwa unakuta mgalatia analikandia kwenye goti😂😂Umetuletea chai bila vitafunwa, ndio maana nimekuletea vitafunwa hivyo kwenye tenga!
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹