Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,317
- 11,411
Wana JamiiForums. Leo nmeondoka Dar asubuhi saa 12:00 nikitoka home Tabata Segerea. Nipo peke yangu gari ninayotumia ni Harrier Old Model CC 3000 Six Cylinder.
So far gari inafunguka vizuri sana na ni nzito inatulia barabarani muda huu nimepita Bwawani.
Nimeendesha kwa mwendo wa Chama na Serikali lakini umenishinda kabisa.wa sehemu nyingine eti unapiga 50 mara sijui hakuna ku over take wale wanaondesha mwendo wa 2G au 3G. Mwendo wa kinyonga.
Kiukweli nimeshindwa hasa baada ya kuna haya ma VX yananipangua tu eti sababu yana namba za Serikali. Nimeona inawezekana mimi nisifike basi nami nmeanza kuyaungia tela tunaenda sambamba bampa to bampa.
Mpaka sasa sijapata bahati ya kukamatwa na traffic ila kuna mmoja alijaribu Chalinze mi nikanyoosha tu mguu huku nimewasha full na hazard.
Nanyoosha mguu mpaka 170 lengo ni kumaliza kile kimzunguko maana hizi gari tunakaa nazo sana Dar mpaka unaweza jikuta kile kigauge cha kusomea speed kinapata kutu maana kinaishia 100 mpaka 120 kwa safari za Dar.
Nitawapa feedback nikifika Morogoro. Kama kuna mtoto mzuri Morogoro anambie angalau nisuuze macho.
Naendelea na safari ila niseme kuendesha gari kwa mwendo elekezi ni ngumu sana.
UPDATES CHINI
Nimefika kahama 05:45
So far gari inafunguka vizuri sana na ni nzito inatulia barabarani muda huu nimepita Bwawani.
Nimeendesha kwa mwendo wa Chama na Serikali lakini umenishinda kabisa.wa sehemu nyingine eti unapiga 50 mara sijui hakuna ku over take wale wanaondesha mwendo wa 2G au 3G. Mwendo wa kinyonga.
Kiukweli nimeshindwa hasa baada ya kuna haya ma VX yananipangua tu eti sababu yana namba za Serikali. Nimeona inawezekana mimi nisifike basi nami nmeanza kuyaungia tela tunaenda sambamba bampa to bampa.
Mpaka sasa sijapata bahati ya kukamatwa na traffic ila kuna mmoja alijaribu Chalinze mi nikanyoosha tu mguu huku nimewasha full na hazard.
Nanyoosha mguu mpaka 170 lengo ni kumaliza kile kimzunguko maana hizi gari tunakaa nazo sana Dar mpaka unaweza jikuta kile kigauge cha kusomea speed kinapata kutu maana kinaishia 100 mpaka 120 kwa safari za Dar.
Nitawapa feedback nikifika Morogoro. Kama kuna mtoto mzuri Morogoro anambie angalau nisuuze macho.
Naendelea na safari ila niseme kuendesha gari kwa mwendo elekezi ni ngumu sana.
UPDATES CHINI
Nimefika kahama 05:45