red apple
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 780
- 1,216
Hahaha jamani,Umepanda tavavili au baraka classic?
Siku ukipanda ya kigoma utafungua nyuz buku. Watu wa kule siti 1 wanapakatana ukoo mzma, wanavyungu vya ugali. Ukifka nguruka wananua ugali aka lwome na samak wa malagarasi wanaanza kufakamia kama wapo hh. Wanakatiana vichwa vya samak wanapeana.
Wanatafuna huku wanabishana, wanatafuna na kuachama na vyakula mdomon na ugoro na mipombe
Noma.
Yaan simulia yako imenipa picha moja matata Kama na check movie!!

