Safari ya RWANDA...


Mentor:mkuu imeangukia siku mbaya.Ikifika saa sita mcha naamini utabadili maelezo,eti ni siku ya wajinga,Aprili Mosi...
 
Last edited by a moderator:
mi mwenyewe kama system haitachenji i wish to be mbunge aiseeh au waziri even kimagumashi,siasa TZ inalipa sana,Mentor unafikiri kwann kila mtu anakimbilia siasa ukianzia wakulima hadi maprof!!!!!!!!!!!!!!!!!
 

Bado nipo nipo sana kaka Lyagwa...saaana!!!

Wee mentor Nivea hapatikani toka ijumaa kuu sijapata habari zake hata kuona comment yake.
Mentor we kama ukipata mtoto wa kinyarwanda beba tu there is nothing to fear than fear itself. Akina Nicas si ajabu wako booked mentor

bro kamkamata kisawasawa si unajua analipizia games anazokosaga during the week.
As for Nicas, I think he is jus fresh in love..atazoea tu!!!


Who cares....

They don't, we don't, you don't, i don't...but for how long RR ??
 
Last edited by a moderator:


Eti nini mkuu?

Kwamba kwa vile tuna rasmali, basi hata tukiongozwa na malofa wasiojua tofauti ya mchanga na dhahabu ni sawa??

Kwa mfano wako, China na USA ndiyo zingekuwa malofa zaidi katika hii dunia....lol!
 

Hadi hiki kizazi cha malofa, walafi na wezi kikitoweka chote....

Labda kitu kama Tsunami kingesaidia..
 
Thanks kwa kutujuza juu ya safari yako ya Rwanda.Huku kwetu ni kichwa cha mpumbavu thats why hata hatufurukuti kwa uchumi wa Rwanda pamoja na raslimali zote tulizonazo pasi na kuwa na vita kama Rwanda.
 
Yaani hata ukimpambanisha Rais wetu na wa Rwanda,wa kwetu atapigwa ngumi za uso mpaka asahau Magogoni kama iko Tanzania au Rwanda.
 
oooh..kumbe
 
Mentor:mkuu imeangukia siku mbaya.Ikifika saa sita mcha naamini utabadili maelezo,eti ni siku ya wajinga,Aprili Mosi...

Mhhh u clearly have not read between the lines brother...


Babu Dark City, nashangaa why we can't copy hivi vizuri kutoka kwa wenzetu...


Oh nooo babu Dark City, huyu mjamaa tuseme ndo anakuwa mbunge wako unadhani atataka mabadiliko from the status quo? Eti tufuje kwa sababu tunazo nyingi..WTF!???

Mkuu RUTAJUMBUKIRWA, i hope u didn't mean any of the things u jus wrote..esp the bold one!!!
 
Last edited by a moderator:
yn hi post umeiweka katika jukwaa zuri sana!hongera kwa hilo ujumbe utawafikia vîzur tu maana jukwaa la siasa hawapitagi siku hizi!
 
Hadi hiki kizazi cha malofa, walafi na wezi kikitoweka chote....

Labda kitu kama Tsunami kingesaidia..

Babu naogopa kuongea sana nisijeshitakiwa kwa kosa la uhaini..lakini i wish more than that would happen!!! oooopsss.:tape2:


Yaani hata ukimpambanisha Rais wetu na wa Rwanda,wa kwetu atapigwa ngumi za uso mpaka asahau Magogoni kama iko Tanzania au Rwanda.

Hahaha...mkuu wa kwetu kanali ujue!lol

oooh..kumbe

Kumbe ulikuwaga na hamu ya kujua mkuu!??
 
yn hi post umeiweka katika jukwaa zuri sana!hongera kwa hilo ujumbe utawafikia vîzur tu maana jukwaa la siasa hawapitagi siku hizi!

Hahaha huwezi amini sikuwa nimenotice imekuwa-moved..Jana niliiweka kwenye Habari na Hoja mchanganyiko..I think Paw mume ya King'asti ameihamisha...
 
Last edited by a moderator:

Sikubaliani na wewe mkuu!
Anayethamini kidogo hata akipata kidogo atakithamini tu...lazima tukubali kuwa wale jamaa wametuzidi SANA katika nyanja mbalimbali zinazohusiana na NIDHAMU ya matumizi ya kiserikali.
 

Yaani jamaa kanishangaza kinoma ndugu yangu...eti hata tukifuja haviwezi kwisha? Kweli?!
Tanzania bado tuna safari ndefu kama tutaendelea kuwa na watu wenye mawazo kama ya huyu Ruta!
Anyway, mkuu mchunie unaweza kuta ndo bosi wako afu ikawa soo kesho kazini tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…