Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,804
ikifika 2023 hiyo fulana ataipandisha juu
kweli wewe ni mzee wa magumashisasa takriban miezi 3 web ya wizara ya afya haina updates na cha kushangaa zaidi hata haifungukin kabsa na imekaa kizamzni hata hakuna sehem ya kutolea maoni..kwa ushauri wangu na watu kwa ujumla katibu wa wizara au waziri wa wizara awasimamishi hao ma IT hawana huo uwezo..
Us.......................................................nge huwa unaanza hivi hivi,mabwabwa hayo!
sasa takriban miezi 3 web ya wizara ya afya haina updates na cha kushangaa zaidi hata haifungukin kabsa na imekaa kizamzni hata hakuna sehem ya kutolea maoni..kwa ushauri wangu na watu kwa ujumla katibu wa wizara au waziri wa wizara awasimamishi hao ma IT hawana huo uwezo..