Safari ya mapenzi na vikwazo vyake

Safari ya mapenzi na vikwazo vyake

Unaongea to coz mda huo hujashikwa.... walioshikwa wakashikika hawaongei kitu zaidi ya kulia na kusubiri huruma za jamaa ambembeleze...
 
Nzuri hii. Ntaenda kujaribu kwa mpenzi wangu Chau
 
nimeshakosa mambo mangapi ila bado kanipa nafasi na ukasema kwamba uniachi utanipenda milele

Chozi lako mola kasikia nami nimekiri upendo nitatulia
nitakupenda milele daima daima X 2


naimba tyu

We mo11 kwa kuimba tu ,umejaliwa
 
Nilifikir mbali maana mama amenikataza nisitoke nje ya nyumba yetu labda kwa ruhusa maalumu
 
haya mambo ya ku-test zari la mwenzio yalishapitwa na wakati. mie nikiambiwa hivyo by the time anafika kwangu nishaondoka saa nyingi niko na my plan number 2!
 
Back
Top Bottom