Munkari
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 8,084
- 4,363
mh!!" huu ujumbe umenikumbusha mbali my x nilimwambia nakupenda sana akasonya eti UNAJUA KUPENDA WEWE!!!! WAPO WANAOJUA KUPENDA SIO WEWE.... nililia na wala hakushtuka na vimachozi vyangu
Jamaniii poyeee ehee baada ya hapo?? Akawa ka frank au aliendelea kuwa kauzu zaidi ya dagaa...