Msaada wa mbinu ya kuruka Mtego

Surya

JF-Expert Member
Jun 7, 2015
8,711
13,404
Iko hivi wadau, kuna Manzi mimi nilikua namuimba..

Karuka, na kudai tuwe marafiki.

Nikaforce sana huo urafiki badae nikakata tamaa alikua anakwepa tusionane.

Zilipopita kama week tatu, nikampandia hewani tena, kubembeleza, nikaona respond ipo kidogo

Sasa Leo nimeenda kwake Manzi, na alinipanga kuwa kichwa kinamuuma katoka hospital, kufika geto kwake nakuta wapo wawili yeye na dada yake....

😁🙂‍↕️🙂‍↕️🙂‍↕️🙂‍↕️

Nimepiga nao story wote vizuri tu, sasa Muda huu nimewahaga nafata charger yangu ya simu na Mapocho pocho.

Oya nipeni ushauri Maamuzi Magumu hapa ni yapi ? nirudi kusalandia ? Na sijahakikishiwa bado mahusiano kama kanikubalia. 🥴
 
Unatuaibisha wanaume, umekaa wiki tatu bila kumtafuta ni kiherehere gani kilikufanya umtafute?

Ni wazi kabisa kua hauna msimamo demu ameshakuona boya,fala fulani

Tuliza makalio hayo acha kuangaika na demu ambae ameshakutaa, kukataliwa si mpaka uambiwe kua hakutaki

Acha ufala Dogo
 
Unatuaibisha wanaume, umekaa wiki tatu bila kumtafuta ni kiherehere gani kilikufanya umtafute?

Ni wazi kabisa kua hauna msimamo demu ameshakuona boya,fala fulani

Tuliza makalio hayo acha kuangaika na demu ambae ameshakutaa, kukataliwa si mpaka uambiwe kua hakutaki

Acha ufala Dogo
Nimekuelewa braza
 
FB_IMG_17258646499763735.jpg
 
Tales of the low lives
wengine sisi ukitudanganya tu, we start to seeking for revenge.
Mpunguzage uwongo na nyie wanawake, kama wachawi.
Mahusiano ya kuvutana vutana toka mwanzo huwa hayadumu
 
Mbona huwa nahisi huwezi kuwa kwenye hili kundi, nimesikitika sana
Huwa naenda straight, na akiniambia tuwe marafiki, namwambia kabisa hilo haliwezekani, umenikataa basi tufute number kila mmoja aendelee na ustaraabu wake sio kuwa friendzone. Sikwenda kwake kutafuta urafiki bali kimapenzi, nilionao wananitosha
Mbinu ni kwamba, usirudi na mwambie kwakuwa umenikataa, kila mmoja apite njia yake, siwezi kuwa rafiko yako
Wewe ni dhaifu sana
 
Back
Top Bottom