Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
Habari, mimi ni mwanafunzi wa ustawi wa jamii. Nilituma maombi ya kujiunga na exchange progamme mwaka jana iliyochini ya Tanzania Youth Coalition(TYC). Hapo jana majira ya saa8 mchana nikapigiwa simu na mtu wa TYC akajitambulisha kisha akasema walipokea maombi yangu hivyo akaniuliza, je? Mwezi wa sita tarehe 14 utakuwa tayari kwenda ujerumani kwa training ya wiki tatu, nikamjibu nipo tayar. Akaniambia sawa basi ngoja tu-confirm then nitakupa taarifa lini uje kwaajili ya interview nikamwambia sawa.
Kuna yeyote yule anayewafahamu hawa jamaa?
Kuna yeyote yule anayewafahamu hawa jamaa?