'So what' ! ndivyo nilivyo hamaki.
So what J.K.N hakupigwa chanjo? Kwamba alikuwa na tishio la afya dhidi ya UNO?
Anyways hii taarifa inatueleza ni jinsi gani Nyerere na wenzake walivyokuwa majasiri na washupavu wakiwa tayari kuhatarisha maisha yao ili kufikia malengo yao ya kupata Uhuru.
Ni wazi kwamba Nyerere, Abdul Sykes na wengineo walipenda na kujali Uhuru wa Tanganyika na walikuwa tayari kufanya chochote kinachohitajika ili kuenda UNO.
Hatahivyo, ni muhimu kutambua kuwa Uamuzi huo unaweza kuonekana kuwa ni reckless au ungeweza kuhatarisha afya za waliopo UNO. Wakati kinyume chake, kama alivyo hadithia A.Sykes Waingereza/wazungu ndio wangeweza kumdhuru. Vilevile mkumbuke wakati huo ulaya na kwingineko kulikuwa na magonjwa ya wazungu kama visununu n.k
Kumbe, kumbe wenzake waliogopa/aliogopa asije akadhurika na chanjo.
Picha hii siyo tu inatueleza ni jinsi gani, hawa Ndugu zetu walivyokuwa wamepevuka na wanvyofikiria, bali pia inatuambia character za Wakina Abdul Sykes, Julius Nyerere na wenzao kwqmba walikuwa tayari kwavlelote lile.
Uzuri,pamoja na kuwa kungewezekana kutokea matokeo tofauti, for instance athari hasi kule UNO...nafikiri
...itakuwa sahihi kusema athari na matokeo yake yalikuwa Chanya
Utaona pia hawa ma architect wa Uhuru wa Mtanganyika na Afrika kwa ujumla walikuwa na maono na mafikirio, yaani Inteligence ya hali ya Juu.
Bora hakupigwa hiyo sindano.
Aluta Continua.